Mafisadi,malamba asali na majuha yatakuja kukupinga na kukutukana,wait and see the wildebeests coming...
 
Kawaambie hivyo wakulima wa korosho usikie majibu yao.

Unamuongelea Magufuli gani? Huyu huyu aliyeenda kununua midege kwa cash wakati kilimo cha Tanzania kinategemea mvua za kudra?
 
yaani unatetea mtu kutompandishia mshahara miaka sita,kutalingana na kupanda maisha kwa sasa?Vipi kuhusu kutoajiliwa watu?
 
yaani unatetea mtu kutompandishia mshahara miaka sita,kutalingana na kupanda maisha kwa sasa?Vipi kuhusu kutoajiliwa watu?
Unaonekana wewe ni mtu wa hovyo tu! Ulipo quote kuna maswali ulipaswa uyajibu na kisha uulize swali lako!

Kwa nini unadhani swali lako pekee ndio linafaa lijibiwe kuliko uliloulizwa?
 
Kawaambie hivyo wakulima wa korosho usikie majibu yao.

Unamuongelea Magufuli gani? Huyu huyu aliyeenda kununua midege kwa cash wakati kilimo cha Tanzania kinategemea mvua za kudra?
Anamwongelea Magufuli huyu
 

Attachments

  • ‎share_this_video_like_and_comment_maneno_ya_magufuli_ya‎20230313‎_Phoenix.mp4
    2.9 MB
Aisee,hujakosea ila Mungu ni fundi na ataendeliea kuliponya taifa.
 
Kawaambie hivyo wakulima wa korosho usikie majibu yao.

Unamuongelea Magufuli gani? Huyu huyu aliyeenda kununua midege kwa cash wakati kilimo cha Tanzania kinategemea mvua za kudra?
Ukikodoa kidogo tu kwenye andiko, uliyemuuliza kuwa ndiye, ni ndiye!

Ndiye aliyeondoa tozo zote kandamizi kwa wananchi, ndiye aliyeshusha kwa kiwango cha sawa na bule kuwaingizia umeme wananchi, ndiye aliyewalinda masikini waliokuwa wamefanywa dampo la matajiri kwa kunyang'anywa haki zao! Sio mahakamani wala kwenye Taasisi zozote za kiserikali!

Ndiye aliyewapa matumaini wananchi kuona kwamba, kumbe kuuaga umasikini na kutendewa haki pia kuhudumiwa na kusikilizwa vema na viongozi inawezekana!


Ndiye aliyewapa matumaini walala hii kwamba, kumbe inawezekana kushinda kesi zao bila rushwa ila haki ikatawala
 
Yaan ,muda unaopoteza kwa kuandika uchafu na upuuzi Kama huu ,ungeutumua kufanya mambo ya maana.Utajuta siku moja kupoteza muda.Kwani JPM mwingine anakuja si muda mrefu.Wapumbavu Kama nyie hamuwezi kuzuia Matumain ya Watanzania.
Haitatokea hata ccm wenyewe wamejifunza.
 
Yaan ,muda unaopoteza kwa kuandika uchafu na upuuzi Kama huu ,ungeutumua kufanya mambo ya maana.Utajuta siku moja kupoteza muda.Kwani JPM mwingine anakuja si muda mrefu.Wapumbavu Kama nyie hamuwezi kuzuia Matumain ya Watanzania.
Hilo mtasubiri sana!!hii nchi kupewa tena mshamba mshamba sahau kabisa!!!hata CCM wanajutia huo ujinga!!!
 
 
Mnarudia rudia hadi mnaboa sasa.. lazima mnamsingizia kwa kweli.. bila hivyo ksingerudia kumsema kila saa na yale hakuweki proof alihusikaje..

Leteni mapya tujenge nchi chini ya Rais wetu pendwa Mama Samia
Unavyopilikita hutaelewa, wewe tulia yarudiwe Ili uelewe vizuri somo
 
Huko kwenye genge lenu mnapopanga kuja hapa na ID zenu nyinginyingi kumtukana Rais Magufuli hampeani mapya ya kusema? Mbona ni ngonjera zilezile tu? Au ndio mnajaribu ile mbinu ya uongo ukisemwa sana huwa ukweli? Hapa mshaula wa chuya, yule mzee hawezekaniki. Alipokua hai hamkumuweza, nani anawaaminisha akiwa marehemu mtamshinda?
 
Umeandika liuzi lirefuuuuuuúuuuu , Wenye Akili wanasoma Kichwa habari alafu wanakuja kukomenti

"Tutoleee uozoo na tope zako ulizojaza kichwani".


Ndomaana Uzi Toka saa sita, ila una wachangiaji kiduuuuuuuchu
 
Kwani hoja ni idadi ya watu?!!mbona toka uhuru kulikuwa hakujawahi kupata jitu kama hilo?!!na ipo wazi ni nini kilitokea hadi yeye kuwa rais!!kama jitu lenyewe lili kili kabisa kuwa lilijikuta tu ni RAIS.MUNGU FUNDI
 
Anamwongelea Magufuli huyu
The road to hell is paved with good intention.

Magufuli alikuwa mtu wa kuongea sana lakini hana strategy, ndiyo maana kaenda kununua midege, kwa cash, bila ya kuwa na business plan.

Mwishowe midege ikifika ulaya inakamatwa!

Magufuli alikuwa Babu Jinga tu.
 
Dawa ya umasikini ni kuongeza uzalishaji, si kutafuta popularity za kisiasa kwa kuwalinda masikini.

Actually ukifikiria maneno na matendo mengi ya Magufuli yalikuwa yana contradiction.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…