Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mama tunakuomba uache sasa kuwalipa hawa vijana wako kumchafua magufuli…Tayari wewe ni raisi na utachaguliwa tena 2025 Magufuli ameshafariki na wala hatofufuka kugombea
Ni mda sasa nnachoona Ni machawa wanakua wengi kupita kawaida na kauli mbiu yao ya "anaupiga mwingi" alaf sielewi Ni kwenye nini. Ni upuuzi wa kiwango cha flyover....ivi... Are they even real people!?
 
Kiongozi unafikia kuingia uwanjani kucheza kibao kata ili kumfurahisha mteule?

Mawaziri walifikia kuamini kuwa ili uendelee kuwa na nafasi yako basi lazima ufanye matendo ya hovyo ili mradi Jiwe afurahi.

Kama taifa tulikwama na hatukujua nini kesho yetu .

Mtazame kiongozi wa ngazi ya uwaziri anacheza mbele ya Jiwe ili alinde teuzi yake.View attachment 2549998
Kiongozi akiwa kichaa na wateule wake wanakuwa hivyo hivyo.
 
Muacheni Mzee wa Watu apumzike zake huko alipo.Kila binadamu ana yake,utazungumzia hawa waliofanya hadharanii ila kuna wanaofanya ufuska hatari huwaoni.
Kiongozi hawezi kuachwa Hitler siunaona hili ni fundisho ukiwa kiongozi utende mema,si kila siku mnammwagia misifa hapa asiekuwa nayo...na aliekudanya kuna kupumzika huko ni nani???
 
Kiongozi unafikia kuingia uwanjani kucheza kibao kata ili kumfurahisha mteule?

Mawaziri walifikia kuamini kuwa ili uendelee kuwa na nafasi yako basi lazima ufanye matendo ya hovyo ili mradi Jiwe afurahi.

Kama taifa tulikwama na hatukujua nini kesho yetu .

Mtazame kiongozi wa ngazi ya uwaziri anacheza mbele ya Jiwe ili alinde teuzi yake.View attachment 2549998
Hivi uliishia darasa langapi?
 
Brother huwezi kuufunika moshi kwa karai, uta toka tu kupitia pembeni .
Bora karai liondolewe moshi utoke wote then ndio moto usio na moshi uwake.

Hapo ndipo mema na mazuri ya Magufuli yatajulika bayana kwa kila mtu , na matumaini kila ulimi utakiri ya kua yule ndugu alikua ni kiongozi bora kwa nyakati na nyakati.
Umesema ukweli
 
Back
Top Bottom