Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
HAKUWAGA NA BAYA MTETEZI WETU.Kashakufa hastuki.
Yeye mwenyewe alipenda kutajwatajwa ndiyo maana kakubali kuwa mwanasiasa.
Angekuwa mtu wa kawaida tu hataki shobo na mtu tusingemjua wala kumtaja.
Mie naomba nije nipate denda TU,furaha yangu.
Ndiyo ushaingia hivyoo.Mie simoo💃
Lakini ni maskini huru,kuliko wewe tajiri mtumwa.Unaonekana ni maskini tu[emoji23][emoji23]
Sisi tulishamzika na tukasali sana mana tulipoteza mtu muhimu sana kwetu,Nyie ndo mnaangaika nae,Alafu jamaa wala hawezi kuwajibu.Achaneni nae sasa
Ha ha haa,Denda msibani?
Jichanganye ukalewe tena alafu unikute,hicho chama chenu cha upinde wa mvua utakihama ntakavyokupelekea Motto.Kesho ni ijumaa nyingine ya ibada ya njia ya msalaba.
Kama nitafanikiwa kwenda Chachi(manake Nina Safari nje ya mkoa sio confirmed )nitamwombea Toba.
Maana yake hakujua alokua anayatenda🙏ingekuwa kipindi kile nazipiga ulabu kwa wingi ningekesha club😅
Mwaka huu mtatukana kila aina ya tusi, ila yule shetani harudi tenaa
Watoe zamu za watu kuwa wanakunya kwenye kaburi lake, hii itasaidia kupunguza machungu yaliyotokana na mateso aliyoyasababisha.Huyu mtu mnavyozidi kumtaja na kumwandika humu kila siku walah mnaleta uchonganishi kwa viongoz wa hawamu hii hasa majizi.
WANACHADEMA na Sisi Wazalendo, Mwacheni mzee wetu apumzike kila mkitaja jina lake nahisi anastuka huko aliko mnamchosha.
.Pole Agrey husikasirikie watu ulitoa mwenyewe, ila soon mtapata haki yenu anakuja mama wa Marekani kuwatetea wanaupinde wa mvua Relax.
.Mida kama hii chuma kilikua kishaliwa na kutu....
Usituchoshe.Sema usinichoshe.
Nani kakudanganya !!?Huyu mtu mnavyozidi kumtaja na kumwandika humu kila siku walah mnaleta uchonganishi kwa viongoz wa hawamu hii hasa majizi.
WANACHADEMA na Sisi Wazalendo, Mwacheni mzee wetu apumzike kila mkitaja jina lake nahisi anastuka huko aliko mnamchosha.
Tulia wewe husichojua ni nini?Nani kakudanganya !!?
Nshatoka kwenye ujinga huo tafta watoto wenzio.Wato zamu za watu kuwa wanakunya kwenye kaburi lake, hii itasaidia kupunguza machungu yaliyotokana na mateso aliyoyasababisha.
Sijategemea maneno kama hayo utaongea mtu kama weweMalaika Israeli mtoa roho alicheza kama Pele, daah!
Samia yupo Africa Kusini na kila mtu aendelee na shughuli zake kama kawaida hakuna kupoteza muda watanzania.Kesho dunia inaazimisha miaka miwili ya kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 nchini Tanzania.
Nimewasili Chato, Mkoani Geita. Kwenda kuweka maua kwenye kaburi la Hayati Magufuli kama njia mojawapo ya kumuenzi yale yote mazuri aliyofanya akiwa hai.
Je, wewe umepanga kufanya jambo gani ili kuazimisha miaka miwili ya kifo cha Magufuli?
.Jichanganye ukalewe tena alafu unikute,hicho chama chenu cha upinde wa mvua utakihama ntakavyokupelekea Motto.