Ustaarabu ni uungwana na kifo ni mipango ya Mungu sio dhamana regardless uongozi wake unauchuliaje lakini heshima ni kitu muhimu sana hata uongee hayo maneno hayawezi kumfufua Marehemu
Asiposemwa mabaya yake nchi inaweza kuja kupata kiongozi kama huyo tena
 
Wewe shoga achana na waume za watu, sitafuni mashoga, tafta mtu wa kukutafuna.
Mtoto unaonekana una sauti nzuri na vidole vizuri weye, hebu ona kwanza mwandiko.
Sema wataka ule nini weye, nikununulie soseji na ndezi? Sema usiogope
 
Mtoto unaonekana una sauti nzuri na vidole vizuri weye, hebu ona kwanza mwandiko.
Sema wataka ule nini weye, nikununulie soseji na ndezi? Sema usiogope
Unaonyesha kabisa tabia zako za kishoga. Mashoga ndio mnakula soseji. Mimi sitafuni mashoga, tafta mwanaume mwingine.
 
Shujaa wa Afrika, R. I. P Jpm. Mbele yetu nyuma yako ..wademaji wanatembelea nyota yako kila mradi uliouacha leo wanaita ni wa kwao huku wakilipaka kinyes8 jina lako.

Tz inakulilia na wananchi wanakukumbuka kila uchao
 

Halafu kiwe na shahada ya heshima itakayoitwa Ben Rabiu wa Saanane. Au hata Ben Saanane Hall?
Ujinga mzigo, sema sikulaumu maana ndo umri wako ulivyo, akina Sylvester Rwegasira unawajua? akina Amina Chifupa unawajua? akina Deo Filikunjombe unawajua? niendelee nisiendelee? Saa8 ndo kitu gani kwa hao?
 
Umekosea inasaidia nini hiyo
 
Unaonyesha kabisa tabia zako za kishoga. Mashoga ndio mnakula soseji. Mimi sitafuni mashoga, tafta mwanaume mwingine.
Aah, weyee, hebu acha kurukaruka wakati nimekupaka, em tulia hapa mapajani. Wallah mabata ushungu mimi kwa ajili yake...kula Soseji basi ila angalia isikukwamee, kula taratibuu basii, kitakachotoka kimeze tuu
 
Masikini wanahitaji kazi waondokane na umaskini wao, sio mia mbili yako ya kununua mihogo.
Nimeenda kutoa misaada kwa masikini wasiojiweza kama jinsi Magufuli alivyowajali wanyonge.Pia nitaenda kusalimia wagonjwa baadaye
 

miaka mingi Barabara ya ubungo kimara foleni ilikua balaaaa! kila jioni msururu usio isha !! saizi njia nne….. hawa mafisadi walikua hawaoni hilo
 
Kuendelea kusherehekea kufa kwake ili taifa lipone. Hii ni muhimu kwa sababu Mungu aliipenda zaidi Tanzania akaamua kumtoa muuaji na mtesaji ili watanzania wapone
 

ila umasikini mbaya ,kweli mtu wa kulilia trafic light na crdb kweli???…. kuna shida kubwa sana tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…