Katika kumuenzi Baba Dr Mheshimiwa Comrade John Pombe Magufuli PhD inafaa paanzishwe Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia. Ili legacy ibaki Kwa vizazi na vizazi
Ni wazo zuri lakini hakuna mtu ndani ya utwawala ulipo atafanya hilo maana wamechagua kupambana naye akiwa mfu!!!
Hapa JPM akiwa mkemia wa kiwanda cha kuchakata mafuta ya kula katika jiji la dhahabu na samaki
 
Ama kwa hakika tulipoteza kiongozi mwenye maono kwenye kizazi legelege!
 
Ujinga mzigo, sema sikulaumu maana ndo umri wako ulivyo, akina Sylvester Rwegasira unawajua? akina Amina Chifupa unawajua? akina Deo Filikunjombe unawajua? niendelee nisiendelee? Saa8 ndo kitu gani kwa hao?
Unalinganisha yule aliyekufa kwenye ajali ya helicopter na aliyepotezwa mazima hata kucha yake isionekane?
 
Mzee alikuwa ana hotuba strong sana kila akihitubia lazima watu wamsikilize, leo huyu mwamba ana jambo gani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…