Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Hey corrupt guy, laugh now because your future may not be as exciting as you can imagine.
Your empty threats are meaningless as well dummyHey corrupt guy, laugh now because your future may not be as exciting as you can imagine.
1. Siasa zisizo za chukiView attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.
Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.
Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).
1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.
2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).
3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.
4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.
5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.
6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.
7.
Itaendelea...
PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Fisadi ni yule aliyekwapua 1.5 trillion za wavuja jasho wa nchi hiiHakika mafisadi mmepania kuhakikisha watanzania wanaishi kama devils.
Nimesema ana mabaya yake lakini sio ufisadi.Kama ufisadi ulifanyika chini yake na yeye hakukemea hizo tabia chafu basi tutamuita fisadi pia.
Unyama wa kina Sabaya alikiri kuwa alikuwa anayafanya yote kwa kutumwa na mteule wake.
Wewe hapo unaanzaje kumtetea huyo mtu?
Mbona Sabaya alikiri kabisa kuwa maovu aliyokuwa anafanya alitumwa na Jiwe?Nimesema ana mabaya yake lakini sio ufisadi.
Hapana .
Kwa fedha za ndani na Mikopo ya kinenki yenye masharti ya kibiashara Mtu asiye mwadilifu asingeweza kufanya aliyoyafanya hata Kwa miaka 30.
Acheni utani kabisa.
Hata kipofu anaona.
Fedha zimehamishwa Magufuli alipoanza kuugua na walikua wameplan mpango huo wakaona umetiki . Wakaanza kuhamisha fedha akiwa ameshaanza kuumwa.
Magufuli akiwa mzima hakuna hata mia wangeweza kuzihamisha .
Alizuia pesa kuingia na kutoka kinyemela.
Sabaya ni mhuni kama wahuni wengine.
JPM adui yake mkubwa alikua ni ufisadi kwa hiyo maeneo yaliyokuwa na wezi na wakwepa Kodi kama Arusha na Kilimanjaro, Mwanza ,Dar es salaam n.k hao Kwa kweli akiwawekea vizuizi vya kufa mtu. Hao hata kukunyofoa nyongo wangekunyofoa alimradi unyooke .
Hivi mkoa wa Arusha wewe unauna ni mkoa wenye binadamu wanaojali utu mbele ya pesa. Arusha hata Mwanamke mbele ya pesa ni mnyama kuliko chatu.
Acheni mambo yameshapita lakini kuna watu kwanza aliwachelewesha walitakiwa wawe wameshafagiliwa wakaisha. Bado alikua na huruma sana Arusha ni mkoa wenye watu wanyama sana na wanaofanya biashara za unyama sana. Matajiri Arusha walikua wanawindana kama wanyama . Kila mmoja alikua anawaza kumaliza mwenzake ili atajirike .
Rushwa Arusha ni kubwa sana kila mahali , ni mkoa usia na kitu haki ya mnyonge.
Hata Mrema alipokuwa Waziri wa mambo ya ndani aliwahi kuutuliza Mji wa Arusha Kwa mtutu wa Bunduki . Arusha bila chuma huwezi kuwacontrol wafanyabiashara wale wanyama kuliko koboko.
Sasa ulitegemea asemeje wakati JPM ameshakufa . ?Mbona Sabaya alikiri kabisa kuwa maovu aliyokuwa anafanya alitumwa na Jiwe?
Jiwe hakuwa muadilifu kabisaufisadi mwingi sana 1.5 trillionSasa ulitegemea asemeje wakati JPM ameshakufa . ?
Hata ungekua wewe ungesema hivyo kujitoa hatiani.
Hivi JPM anaweza akamtuma Sabaya akafire mtu au amwingizie mtu chupa matakoni. Au apore mke wa mtu.
Hapana Sabaya alikua ni mnyama TU.
Hawa Vijana wa CCM linapokuja suala la sifa na madaraka hua ni wanyama sana.
Ulimuona mtoto wa Waziri Simbachawene akimtukana Polisi mwenye umri sawa na baba yake ? Kile ni kiburi Cha pesa sio kwamba alitumwa . Vijana wanaopata pesa za kuteuliwa na kuwa na madaraka makubwa Juu ya watu mara nyingi wanakua na kiburi kupitiliza . MTU kama Mo huwezi ukamuona akimtukana Hata mgambo.
Tutofutishe watendaji waliojipatia fedha Kutokana na kuugua Kwa JPM na uadilifu wake.
Ukitaka Ujue SERIKALI Corrupt kwenye unaangalia kwenye wizara zifuatazo:-
Wizara ya fedha ,
Nishati na Madini,
Maliasili ,
Ujenzi.
Dunia nzima hizo ndizo wizara zenye watendaji wenye Kashfa KUBWA za mabilioni. JPM hakuwavumilia kwenye wizara hizo.
Na kama ni Wizi angetumia Mali asili Sio pesa za Plea bargain. Ambazo kimsingi aliyepewa mamlaka ya kubagain ni DPP ambaye angeweza kubagain na kupewa rushwa Ili afute kesi Kwa pesa kidogo na asingethubutu kumshirikisha JPM.
Mimi sijawahi Kumuunga mkono alipokuwa hai kutokana na kuminya Demokrasia tuu lakini mambo mengine nilikua namsikilizia kwanza anavyofanikisha mikakati yake Kwa haraka .
Kwa Sasa nimemsamehe madhaifu yake yote na Mungu ampe makao mema Huko Peponi . Amina .
Kuna maeneo nilimponda sana Lakini Kwa Sasa haiwezi kujitokeza na kujisemea siwezi kumlaumu kwenye Yale yasiyo na Majibu ya Haki na yaliyotendeka na wengine kama Sabaya. Wawajibike wenyewe
Hapana.Jiwe hakuwa muadilifu kabisaufisadi mwingi sana 1.5 trillion
Haters gon' hate, but the winners gon' finish the race. RIP JPM.A true Tanzanian patriot: View attachment 2555761
Kweli kabisa.Sina mengi ya Kuongea, ila Licha ya kasoro zake, chuma alikuwa .
Yoshua bin Sira.38:16-23Kesho dunia inaazimisha miaka miwili ya kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 nchini Tanzania.
Nimewasili Chato, Mkoani Geita. Kwenda kuweka maua kwenye kaburi la Hayati Magufuli kama njia mojawapo ya kumuenzi yale yote mazuri aliyofanya akiwa hai.
Je, wewe umepanga kufanya jambo gani ili kuazimisha miaka miwili ya kifo cha Magufuli?