KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
NonsenceAskofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?
Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?
Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
View attachment 2564018View attachment 2564019
View attachment 2564015
Na pia baada ya kubana mianya ya makanisa kutumika vibaya kwenye masuala kama miradi. au kufanya biashara ambazo halizingani na shughuli za kanisa.Magufuli alikuwa akiwaelekeza maaskofu jinsi ya kuhubiri baada ya kukataa ile nonsense yake kuwa maombi yameondoa Covid
Hayati Kadinali RugambwaAskofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?
Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?
Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
View attachment 2564018View attachment 2564019
View attachment 2564015
Kakobe ndiye angetakiwa atubu kwa kuwadanganya watu wapeleke vitu vya thamani kanisani, eti Mungu anapenda vitu vyenye thamani.
Mungu wa Askofu Kakobe sio Mungu wa viwango hivi. RIP MagufuliMsikilize baba wa Kiroho Askofu Kakobe
View attachment 2564017
Polisi watakaa nyumba za maboksi milele na milele🤣Msikilize baba wa Kiroho Askofu Kakobe
View attachment 2564017
Kweli KabisaBora alivyopuuza huoni nchi imepona, angekuwa bado anasumbua
Alitumia vibaya makanisa kufanya propaganda za siasa,Na pia baada ya kubana mianya ya makanisa kutumika vibaya kwenye masuala kama miradi. au kufanya biashara ambazo halizingani na shughuli za kanisa.
Ukifanya hivyo unakuwa "subject" wa kulipa kodi.
Magu alikuwa Nabii.
Wakati kakobe na wenzie wamejificha na kuvaa barakoa, kuogopa corona.
Jembe likitokea hadharani kuwaelekeza wananchi ktk IBADA wafunge na kuomba.
Mungu wa Magu ndiye aliyeinusuru Dunia na tauni ya corona.
Amen
Amtafute mwanae Frank Zachary kwanza aiseeMsikilize baba wa Kiroho Askofu Kakobe
View attachment 2564017
Watu wenye shida ya kuandika maneno ya kiswahili, michango yao hovyo kabisa. Sasa ''tafadhar'' ni nini? Kifo cha mapema ni zaidi ya adhabu. Hata Mungu alituumba ili tuishi mpaka tuzeeke.Nieleweshwe tafadhar.
KIFO NI ADHABU?
Watu wenye shida ya kuandika maneno ya kiswahili, michango yao hovyo kabisa. Sasa ''tafadhar'' ni nini? Kifo cha mapema ni zaidi ya adhabu. Hata Mungu alituumba ili tuishi mpaka tuzeeke.
Ingawa sikuwa ushabiki wa Marehemu, hapa Askofu alivuka mipaka na kwa kiasi hakuonyesha heshima/hekima. That's my opinion!!!Askofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?
Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?
Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
View attachment 2564018View attachment 2564019
View attachment 2564015