Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Askofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?

Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?

Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
View attachment 2564018View attachment 2564019
View attachment 2564015
Nonsence

Kifalsafa inaitwa "post hoc falacy" yaani ni ile kuamini kwamba kutokea kwa tukio moja kumesababisha kutokea kwa tukio jengine kitu ambacho ni ujinga na ulimbukeni.

Kila mtu amepangiwa siku yake ya kufa na haitochelewa hata sekunde moja muda ukifika unakufa tu , nadhani ni jambo la kheri sana marehemu akiachwa sasa kusemwa semwa mnaonekana ni watu wa ajabu.
 
Magufuli alikuwa akiwaelekeza maaskofu jinsi ya kuhubiri baada ya kukataa ile nonsense yake kuwa maombi yameondoa Covid
Na pia baada ya kubana mianya ya makanisa kutumika vibaya kwenye masuala kama miradi. au kufanya biashara ambazo halizingani na shughuli za kanisa.

Ukifanya hivyo unakuwa "subject" wa kulipa kodi.
 
Askofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?

Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?

Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
View attachment 2564018View attachment 2564019
View attachment 2564015
Hayati Kadinali Rugambwa
Hayati Mufti mkuu Sheikh Simba
Hayati Julius K. Nyarere na marehemu wengine wote walifariki kwa kuwa hawakuungama ?
 
Kwamba waliokufa hawakutubu?

Hivi mtajifungua lini hizo mimba zake?
 
Na pia baada ya kubana mianya ya makanisa kutumika vibaya kwenye masuala kama miradi. au kufanya biashara ambazo halizingani na shughuli za kanisa.

Ukifanya hivyo unakuwa "subject" wa kulipa kodi.
Alitumia vibaya makanisa kufanya propaganda za siasa,

Mfano anaita maaskofu 50 kwenye function za kijinga kama vile kupokea ndege na kuwalipa mamilioni, tena maaskofu wenyewe ndio hawa akina Gwajima, Gamanywa, Mwamposa n.k walipiga sana hela za walipa kodi kipindi cha jiwe
 
Nabii wa shetani
Magu alikuwa Nabii.

Wakati kakobe na wenzie wamejificha na kuvaa barakoa, kuogopa corona.

Jembe likitokea hadharani kuwaelekeza wananchi ktk IBADA wafunge na kuomba.

Mungu wa Magu ndiye aliyeinusuru Dunia na tauni ya corona.

Amen
 
Nieleweshwe tafadhar.

KIFO NI ADHABU?
Watu wenye shida ya kuandika maneno ya kiswahili, michango yao hovyo kabisa. Sasa ''tafadhar'' ni nini? Kifo cha mapema ni zaidi ya adhabu. Hata Mungu alituumba ili tuishi mpaka tuzeeke.
 
Askofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?

Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?

Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
View attachment 2564018View attachment 2564019
View attachment 2564015
Ingawa sikuwa ushabiki wa Marehemu, hapa Askofu alivuka mipaka na kwa kiasi hakuonyesha heshima/hekima. That's my opinion!!!
 
..
1679652251550.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom