Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 519
Ulikuwepo kwenye hicho kiti cha enzi?Maombi ya mama yake BEN SAA NANE YALIFIKA KITI CHA ENZI
unapoambiwa mama ni Mungu wa Dunia we unaaelewaje, mi wiki iliyopita nilienda kujiangali mahali nikaambiwa yangekosa maombi ya mama yangu wangeshanilaza!Hakuna kitu kama hicho mwanadamu hawezi kuw mlinzi wa mwenzake Ubongo wako unahitaji Update haraka sana kabla Virus hawajafika mbali
Yule mzee hakufa kwa Corona ,walamba asali walifanya yao.Corona ni hatari, na ile betri kwenye moyo server yake IPO ulaya, wakizima tu huku mtu anazimika.
Kama Mama angekuwa ni mungu wa Dunia kwa mujibu wako basi Kusingekuwa na vitu vifuatavyo,..unapoambiwa mama ni Mungu wa Dunia we unaaelewaje, mi wiki iliyopita nilienda kujiangali mahali nikaambiwa yangekosa maombi ya mama yangu wangeshanilaza!
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kwa mujibu wa Sheria ni Lazima Rais alindwe tu hata kam akisema Hataki lakini protocol za Ikulu zinamlazimu Alindwe,
lakin kwa hiyo hoja ya Kusema eti Mama yake nd alikuw kam Mlinzi wake Hapo Tunadanganyana Mwanadam yeyote anayekufa na kuoza hawez kuw mlinzi kwa mwenzke haswa haswa ukiileta hiyo hoja Kiroho km alivyosema mleta mada.
Adui upiga mbuyu wako ulipoInawezekana walianza na mama yake kwanza
Na alifanya kosa kubwa kumpiga chini swahiba wake aliyemshikia mikoba.Jiwe mchawi wake alikuwa ni makonda.
Walipopata mafanikio wakasahau kurechaji betri.Mbona makonda na yeye ni kama karogwa tu
Mtu urogwa kupitia mama yake,ukiwa strong wanacheza na weakness ya mama yako.Mama ndio kila kitu
Hiyo ni lugha ya kocha, wacha ujinga. Hukumbuki Kawawa aliwaambia UWT kuwaxwanekalia mali au Kikwete aliposema ukitaka kula lazima ukubalu kuliwa? Ni jinsi mtu anavyimudu lugha yake, kumbuka hawa siyo native Kiswahili speakers lugha wameijua ukubwani.Nitakumbuka maneno yake uasiyoendana na umri na wadhifa wake kama pale alipomwambia bwana mmoja abaki na mavi yake nyumbani na pale aliposema tanesco wayakojolee mabwawa ya kuzalisha umeme kuyajaza kama yana upungufu wa maji
Kwahiyo ulinzi wote ule kulindwa na vifaru, helicopter, makirikiri yote ilikuwa kazi bure?Yule mzee hakufa kwa Corona ,walamba asali walifanya yao.
Hata Yesu alisalitiwa na mtu ambae alikuwa anakula nae,anaishi nae.Hivyo waliotumwa ni wale wale aliowaamini.Kwahiyo ulinzi wote ule kulindwa na vifaru, helicopter, makirikiri yote ilikuwa kazi bure?
Upuuzi ni mwingi saana aliofanya ambao hatutsahau,Kuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika.