Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kwani ww ndio JESSICA? Mtoto wake. Tuanzie hapo kwanza.
 
Baba wakati wako ulikuwa unakula peke yako na Wananzengo ulio wachagua mwenyewe ila Sasa kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.

Miradi uliyoiacha inaendelezwa kwa kiwango Cha kuridhisha na itakamilika ila waimba mapambio wako wanamkwamisha mama.

Anajitahidi ila kundi lako halifurahii mafanikio yake.

Demokrasia imetamalaki ila enzi zako hali ilikuwa mbaya.

Uendelee kuongoza Malaika wa kuzimu salama.
Huwa mnajitoa sana ufahama hiyo miradi ndo hiyo kumkataa mzabuni wa 600b na kumchukua yule wa 1.1 .samia mwenyewe amesema over imvoiced ni kila mradi halafu unadai et kazi iendelee khaa
 
Kwa kuwa tunaamini kimwili haupo na sisi ila kiroho upo na sisi, naomba nikupe taarifa hii.

1. Nyumba yetu uliyoiacha ikiwa haivuji kwa zaidi ya 91%, sasa inavuja karibu kila kona kwa zaidi ya 78%.

2. Panya na mchwa uliowafunika na jiwe zito ili wasiendelee kuleta usumbufu katika nyumba yetu, mlinzi wa nyumba amewafungulia na amewapa kazi ya kulinda ghala la chakula chetu.

3. Cha ajabu kabisa na cha kushangaza ni kwamba, mlinzi aliyewakaribisha panya na mchwa chumbani, ndo huyo huyo anayetoka hadharani kulalamika eti panya na mchwa wametafuna nguo na kuharibu chakula kilichohifadhiwa.

Mlinzi huyu kazi yake kubwa ni kulalamika tu bila hata kuwachukulia hatua kali hawa panya na mchwa ikiwa ni pamoja na kuwafukuza hapa nyumbani.

Kwa ujumla Baba, hali ya nyumba yetu si shwari kabisa.

RIP Shujaa wetu, JPM.
Mkumbushe pia ile trillion 1.5 mpaka sasa haijulikani ilipo, fedha za plea bargain hazionekani na hata zilizoporwa bureau de change haijulikani zilipo
 
RIP JPM ama kweli tutakukumbuka 1. 1..TOTO Afya Kodi hamna tena huku baba.

2. Mchele tulionunua 1600 sasa ni 3500 baba.

3. Baba Petrol uliacha 1900 sasa ni 3000.

4. Bwawa la Nyerere halijanza mpaka leo.

5. Baba wajua kwamba tulichanjwa na chanjo ya COVID 19 na mikopo juu?.

6. Nakunong'oneza baba "Eti Mwigulu Nchemba Ndiyo waziri wa fedha, Makamba nishati na Nauye mawasoliano.".

7. Mwanza tulienda Kwa elfu 45 Sasa billa 65000 hufiki.

Ni hayo tu Kwa leo Mzee wetu
Kweli Hali mbaya yaani mmefikia kuabudu/kusali Kwa wafu?
 
😂😅 unamuita jiwe baba yako, kwahio baba yako aliyekuzaa umemuweka kundi gani la akina JumaLokole au Mwijaku..?
 
Kwa kuwa tunaamini kimwili haupo na sisi ila kiroho upo na sisi, naomba nikupe taarifa hii.

1. Nyumba yetu uliyoiacha ikiwa haivuji kwa zaidi ya 91%, sasa inavuja karibu kila kona kwa zaidi ya 78%.

2. Panya na mchwa uliowafunika na jiwe zito ili wasiendelee kuleta usumbufu katika nyumba yetu, mlinzi wa nyumba amewafungulia na amewapa kazi ya kulinda ghala la chakula chetu.

3. Cha ajabu kabisa na cha kushangaza ni kwamba, mlinzi aliyewakaribisha panya na mchwa chumbani, ndo huyo huyo anayetoka hadharani kulalamika eti panya na mchwa wametafuna nguo na kuharibu chakula kilichohifadhiwa.

Mlinzi huyu kazi yake kubwa ni kulalamika tu bila hata kuwachukulia hatua kali hawa panya na mchwa ikiwa ni pamoja na kuwafukuza hapa nyumbani.

Kwa ujumla Baba, hali ya nyumba yetu si shwari kabisa.

RIP Shujaa wetu, JPM.
Hamna JIZI kama Magufuli toka nchi hii ipate uhuru. Nafuu Samia yeye anakubali ripoti ya CAG isomwe tuone panapovuja. Yule mwendazake kungekuwa moja kati ya haya:-
1. Aidha Ripoti ingechakachuliwa, yaani asome ripoti isiyo na udisadi AU

2. CAG KICHERE angedurushwa kazi kama Prof Assad.
 
Kwa kuwa tunaamini kimwili haupo na sisi ila kiroho upo na sisi, naomba nikupe taarifa hii.

1. Nyumba yetu uliyoiacha ikiwa haivuji kwa zaidi ya 91%, sasa inavuja karibu kila kona kwa zaidi ya 78%.

2. Panya na mchwa uliowafunika na jiwe zito ili wasiendelee kuleta usumbufu katika nyumba yetu, mlinzi wa nyumba amewafungulia na amewapa kazi ya kulinda ghala la chakula chetu.

3. Cha ajabu kabisa na cha kushangaza ni kwamba, mlinzi aliyewakaribisha panya na mchwa chumbani, ndo huyo huyo anayetoka hadharani kulalamika eti panya na mchwa wametafuna nguo na kuharibu chakula kilichohifadhiwa.

Mlinzi huyu kazi yake kubwa ni kulalamika tu bila hata kuwachukulia hatua kali hawa panya na mchwa ikiwa ni pamoja na kuwafukuza hapa nyumbani.

Kwa ujumla Baba, hali ya nyumba yetu si shwari kabisa.

RIP Shujaa wetu, JPM.
SHUJAA wa Wizi
 
Hii ni ishara ya kuwa unawaamini watu wengine kuliko unavyo jiamini wewe mwenyewe.
Huyu unae msema hawezi kukusia all Isha kufa, Kuna sehemu Kuna shida upambane tulio Hai kurekebisha Marehemu Hana msaada kwa tulio Hai hata tumsifu vipi
Hayo ni mawazo yake anayo haki kuyasema na anao uhuru kuyatoa . Hatuwezi kuwa sawa wote kifikra au kimtizamo , tutatofautiana TU. Lakini suala jingine hatuwezi kupinga kila kitu TU Cha muhimu ni utafiti wa kutosha kufanyika kwa hiko alichokisem kama ni kweli au la.
Lakini pia tumjibu kwa hoja , kwa suala alilozungumza , je Lina ukweli ndani yake .
Cha muhimu ni kumsikiliza mtu Nini achaotaka kusema mpe uhuru (freedom of speech) na yeye aleze achoona . Wewe sas unatakiwa kumjbu kwa hoja na kumpa takwimu sahii kama zipo. Au mmesahau msemo unaosem NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.
 
Hamna JIZI kama Magufuli toka nchi hii ipate uhuru. Nafuu Samia yeye anakubali ripoti ya CAG isomwe naone panapovuja. Yule mwendazake kungekuwa moja kati ya haya:-
1. Aidha Ripoti ingechakachuliwa, yaani asome ripoti isiyo na udisadi AU

2. CAG KICHERE angedurushwa kazi kama Prof Assad.
Aisee,kama baba yako Lucifer,uongo hadi kichefuchefu.Yaani hata aibu huna.
 
Back
Top Bottom