Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Hamna wa kumlilia bali mlilieni JPM ,kabla hajawa Rais wanasiasa toka mkoa wa Kagera walikuwa hawaaminiki,hakuna mwanakagera angeota kipewa nchi,hata yeye alilijua ,akafanya sarakasi Chato ikatoka Kagera ikaenda Geita,akajiita msukuma,kabila kubwa nchini akapata kura zao kirahisi.

Kiasili wasukuma walioenda shule huwa ji watu humble sana ,wake makatili wengi ni kwa sababu ya kukosa elimu,ndio huamini mambo ya kishirikina,hao usiwachezee,Watu wa mkoa wa Mara hao wanajulikana sitaki kuwaelezea.

Aliooingia madarakani aliteua watu kuyoka hiyo mikoa ili wamlinde,IGP,CDF, Hazina,Jaji mkuu,DPP
na wengine wengi tu,ila alijikuta anawaponza kwa amri zake ikaonekana watu wa hiyo kanda wana shida,Mabeyo peke yake ndio hakuchaguka na alisoma mchezo,siku ya mazishi akaona aongee speech ya hisia ili aonekane hakuwa tatizo.

Wazee wa chama wameliona hilo wamejiapiza kuwa Tanzania ni kubwa kuna Pwani,Kusini,Kaskazini,Kati,Nyanda za juu kusini,huko kote kuna watanzania makini wanaoweza kuongoza nchi ila sio kanda ya ziwa
Kuwachagua ndio kuwaponza?

Nguvu ya kanda ya Ziwa huwezi ifananisha na Pwani.
 
Ikiwezekana tupate rais mkurya kabisa ile ya magu ilikuwa cha mtoto tunataka chuma kingine
 
Hata hivyo kanda ya ziwa imeshatoa Marais wawili, pwani watatu na kusini mmoja. Ni vyema kuangalia na kanda nyingine zilizobaki
 
Mtetezi wa Wanyonge RIP DR .MAGUFULI alipinga kwa ukali Ushoga na Usagaji nchini Tanzania .


 
RIP JOHN POMBE MAGUFULI RAIS WA TANZANIA....


RIP JOHN POMBE MAGUFULI RAIS WA TANZANIA.jpg
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

- value, I wish it was zero
 
Hata hivyo kanda ya ziwa imeshatoa Marais wawili, pwani watatu na kusini mmoja. Ni vyema kuangalia na kanda nyingine zilizobaki
Mtendaji Mkuu ni Waziri Mkuu, hasa kama Rais ni mwadilifu. Baada ya huyo kuna watendaji wa kisekta, hasa fedha na elimu. Kanda ya Kaskazini imetoa Waziru Mkuu mara 4, akiwamo Naibu Waziri Mkuu mara moja, jumla 5. Kanda hiyo hiyo imetoa Waziri wa Fedha, Waziri wa Elimu, mara 7. Matokeo yake si unayaona? Wana University 5; hospitali za rufaa 4; Airports 3 umbsli wa kilometa 48; na barabara za lami hadi migombani. Linganisha na kwa Rais Nyerere, Rais Mkapa; Rais Magu; na Rais Kikwete - hakuna kitu. Magufuli walijenga tawi dogo la CRDB wakamrukia kuwa anapendelea kwao. Kaweka Airport eneo la kilometa 400 wakamrukia eti ni Gbadolite. Hapo hujasema kwa Waziri Mkuu Majaliwa, hakuna kitu. CHADEMA sasa wanataka kujitenga wajitawale kwa kikabila (eti viongozi wapigiwe kwenye sehemu zao), sidhani kama Watanzania watakubali.
 
Mtendaji Mkuu ni Waziri Mkuu, hasa kama Rais ni mwadilifu. Baada ya huyo kuna watendaji wa kisekta, hasa fedha na elimu. Kanda ya Kaskazini imetoa Waziru Mkuu mara 4, akiwamo Naibu Waziri Mkuu mara moja, jumla 5. Kanda hiyo hiyo imetoa Waziri wa Fedha, Waziri wa Elimu, mara 7. Matokeo yake si unayaona? Wana University 5; hospitali za rufaa 4; Airports 3 umbsli wa kilometa 48; na barabara za lami hadi migombani. Linganisha na kwa Rais Nyerere, Rais Mkapa; Rais Magu; na Rais Kikwete - hakuna kitu. Magufuli walijenga tawi dogo la CRDB wakamrukia kuwa anapendelea kwao. Kaweka Airport eneo la kilometa 400 wakamrukia eti ni Gbadolite. Hapo hujasema kwa Waziri Mkuu Majaliwa, hakuna kitu. CHADEMA sasa wanataka kujitenga wajitawale kwa kikabila (eti viongozi wapigiwe kwenye sehemu zao), sidhani kama Watanzania watakubali.
Hilo waachie watanzania wenyewe maana wewe ni mushuti wa Burundi
 
Mimi nitamkumbuka kwa utawala wake wa mabavu na kutofuata sheria ambao mwisho umeifanya CCM kutambua na kukubaliana na mchakato wa Katiba Mpya
 
Mimi nitamkumbuka kwa utawala wake wa mabavu na kutofuata sheria ambao mwisho umeifanya CCM kutambua na kukubaliana na mchakato wa Katiba Mpya
Kwa hiyo unampinga tundulissu? Kasema mara alfu kuwa Magufuli hana kosa, mwenye makosa ni Nyerere aliyejilimbikizia madaraka mwaka 1962. Aidha, Magufuli kajishindia kura mara 2, Nyerere na Mwinyi walikuwa wanapita bila kupingwa. Isitoshe, Magu kaega barabara na lami na shule kila mahali, zamani zote zilikuwa zinaenda kanda moja tu. Amefanikiwa kuhamisha Mji Mkuu kwenda Chato sorry Dodoma, uamuzi ulipotishwa kwa referendum ya CCM mwaka 1978. Hizo hela zote zamani zilikuwa zinaliwa na wachache, sasa CHADEMA wanataka kujitenga watawaliwe Kikabila. Kosa la Magufuli kwako kumbe ni kuwa mkali lutetea maslahi ya Watanzania wote. Pole.
 
Kwa hiyo unampinga tundulissu? Kasema mara alfu kuwa Magufuli hana kosa, mwenye makosa ni Nyerere aliyejilimbikizia madaraka mwaka 1962. Aidha, Magufuli kajishindia kura mara 2, Nyerere na Mwinyi walikuwa wanapita bila kupingwa. Isitoshe, Magu kaega barabara na lami na shule kila mahali, zamani zote zilikuwa zinaenda kanda moja tu. Amefanikiwa kuhamisha Mji Mkuu kwenda Chato sorry Dodoma, uamuzi ulipotishwa kwa referendum ya CCM mwaka 1978. Hizo hela zote zamani zilikuwa zinaliwa na wachache, sasa CHADEMA wanataka kujitenga watawaliwe Kikabila. Kosa la Magufuli kwako kumbe ni kuwa mkali lutetea maslahi ya Watanzania wote. Pole.
1.5trillion ziko wapi?
 
Kwa hiyo unampinga tundulissu? Kasema mara alfu kuwa Magufuli hana kosa, mwenye makosa ni Nyerere aliyejilimbikizia madaraka mwaka 1962. Aidha, Magufuli kajishindia kura mara 2, Nyerere na Mwinyi walikuwa wanapita bila kupingwa. Isitoshe, Magu kaega barabara na lami na shule kila mahali, zamani zote zilikuwa zinaenda kanda moja tu. Amefanikiwa kuhamisha Mji Mkuu kwenda Chato sorry Dodoma, uamuzi ulipotishwa kwa referendum ya CCM mwaka 1978. Hizo hela zote zamani zilikuwa zinaliwa na wachache, sasa CHADEMA wanataka kujitenga watawaliwe Kikabila. Kosa la Magufuli kwako kumbe ni kuwa mkali lutetea maslahi ya Watanzania wote. Pole.
Kufuga majambazi
 
1.5trillion ziko wapi?
Mwulize Mr Mbowe. CAG Professor Assad aliwalima audit query mbili CHADEMA: 1, kwa nini hawa picha ya Rais ofisini? 2, wamepeleka wapi shilingi 1.5tr/= za ruzuku walizopewa tangu kwa Luwassa ili zijenge nyumba hadi sasa wanaka nyumba ya mtu mbavu za mbwa chooni pale Ufipa Street? Ask him.
 
Mwulize Mr Mbowe. CAG Professor Assad aliwalima audit query mbili CHADEMA: 1, kwa nini hawa picha ya Rais ofisini? 2, wamepeleka wapi shilingi 1.5tr/= za ruzuku walizopewa tangu kwa Luwassa ili zijenge nyumba hadi sasa wanaka nyumba ya mtu mbavu za mbwa chooni pale Ufipa Street? Ask him.
Jibu swali wapi 1.5 trillion za watanzania?
 
Jibu swali wapi 1.5 trillion za watanzania?
Nimekwambia mwulize CAG Professor Assad kama keshajibiwa na Mr Mbowe. Au wewe huyo mwenyewe si una macho na akili timamu? Nenda CHADEM Hdqtrs Ufipa Street Kinondoni useme kama hicho kiota kina thamani ya 1.5tr/=, ukashajirizisha mweleze CAG wa leo CPA Kidata. Pia kuna audit query ya hela za msamaha wa kodi Vitimaalum kunde ni tractor la Mr Mbowe shambani kwake Ifakara kwa Mhe. Lijualikali, misuse by misdirection.
 
Tunamkumbuka kwa, " wapi Ben saanane, wapi Azory Gwanda we mzee huko uliko? tunataka majibu.
 
Japo na yeye alikosea sana ila kwa haya yanayoendelea kusema za ukwelli magufuli alikuwa mzalendo kweli kweli bila kupindisha yule bwana alinyooka vibaya mno na alikuwa Rais mzalendo na bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili

Huko uliko nisamehee kwa kukusema kwa ubaya! Nisamehe sana mzee wangu magufuli! Nchi inaenda kuzimu hii baada ya wewe kuondoka! Nisamehee nimekosa mimi.
 
Back
Top Bottom