Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Hii ni ishara ya kuwa unawaamini watu wengine kuliko unavyo jiamini wewe mwenyewe.
Huyu unae msema hawezi kukusia all Isha kufa, Kuna sehemu Kuna shida upambane tulio Hai kurekebisha Marehemu Hana msaada kwa tulio Hai hata tumsifu vipi
Una matope kichwani,nchi inaongozwa na walio hai na waliokufa,
 
Magaidi yameamka na yanabisha kwelikweli!
Wakubali tu wanahuzuni....madai yao yanafifia huku ukweli ukianikwa wazi.

R.I.P Comrade JPM
 
Magufuli alikuwa MWIZI kuanzia akiwa Waziri. Aliwapumbaza nyinyi kina Mathanzua mukamuona ni mzalendo
Natamani wote tuwe wezi. Mwizi mkubwa, kapeleka Mji Mkuu Dodoma, kawaibia Wagogo. Mwizi huyu, jambazi mkubwa, kaiba makanikia yetu kawanyanganya mabeberu waliokuwa wanatetewa na Lawyers mabilionea fatmakarume na tundulissu. Mwizi mkubwa kajenga Airport moja kwao, kwa CHADEMA walishaiba tayari wana Airport 3. Mwizi mkubwa, kajenga hospitali ya rufaa kwao na Lindi na Singida kuhudumia watu milioni 10, kwao CHADEMA wako milioni moja a nusu walishaiba zamani wana hopitali za rufaa 5. Magufuli mwizi kapeleka lami na CRDB kwao na Kigoma na Tunduru, kubwa eneo kuliko kwa CHADEMA wao wana lami na CRDB mpaka migombani. Flyover za Airport, Ubungu, Kurasini, Selander Bridge, mwizi mkubwa kaiba hela zetu. Hivi zamani zilikuwa zinaenda wapi? Wasaliti wanaomchukia ni CHADEMA 13% kwa vile kawanyanganya tonge mdomoni lakini Watanzania wa kawaida 87% wanamsapoti hata zikipigwa kura leo. CHADEMA walikuwa wezi tangu zamani, wakiwa na Waziri Mkuu (mara 3) na Naibu Waziri Mkuu (mara 1). Waziri wa Fedha (mara 3) na Waziri wa Elimu (mara 5), wote wanavutia kwao, leo wanatubeza wanataka Serkali za Majimbo wajitawale kwa Ukabila. Tuwakatae.
 
Magufuli namkumbuka kwa uchapakazi wake mahiri, katika kusimamia walio chini ya uongozi wake. Pia Raisi Magufuli alikuwa muwazi na mkweli kwa kile alichokiamini haswa katika maswala ya ndani na nje ya nchi.
 
Natamani wote tuwe wezi. Mwizi mkubwa, kapeleka Mji Mkuu Dodoma, kawaibia Wagogo. Mwizi huyu, jambazi mkubwa, kaiba makanikia yetu kawanyanganya mabeberu waliokuwa wanatetewa na Lawyers mabilionea fatmakarume na tundulissu. Mwizi mkubwa kajenga Airport moja kwao, kwa CHADEMA walishaiba tayari wana Airport 3. Mwizi mkubwa, kajenga hospitali ya rufaa kwao na Lindi na Singida kuhudumia watu milioni 10, kwao CHADEMA wako milioni moja a nusu walishaiba zamani wana hopitali za rufaa 5. Magufuli mwizi kapeleka lami na CRDB kwao na Kigoma na Tunduru, kubwa eneo kuliko kwa CHADEMA wao wana lami na CRDB mpaka migombani. Flyover za Airport, Ubungu, Kurasini, Selander Bridge, mwizi mkubwa kaiba hela zetu. Hivi zamani zilikuwa zinaenda wapi? Wasaliti wanaomchukia ni CHADEMA 13% kwa vile kawanyanganya tonge mdomoni lakini Watanzania wa kawaida 87% wanamsapoti hata zikipigwa kura leo. CHADEMA walikuwa wezi tangu zamani, wakiwa na Waziri Mkuu (mara 3) na Naibu Waziri Mkuu (mara 1). Waziri wa Fedha (mara 3) na Waziri wa Elimu (mara 5), wote wanavutia kwao, leo wanatubeza wanataka Serkali za Majimbo wajitawale kwa Ukabila. Tuwakatae.
Hizi pumba nenda kawape wanao kama unao maana ndiyo una mamlaka nao. Kama huna kawape nguruwe. Vitu vya kipumbavu kabisa
 
Kwa mambo yote aliyo tafanya[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Hamna wa kumlilia bali mlilieni JPM ,kabla hajawa Rais wanasiasa toka mkoa wa Kagera walikuwa hawaaminiki,hakuna mwanakagera angeota kipewa nchi,hata yeye alilijua ,akafanya sarakasi Chato ikatoka Kagera ikaenda Geita,akajiita msukuma,kabila kubwa nchini akapata kura zao kirahisi.

Kiasili wasukuma walioenda shule huwa ji watu humble sana ,wake makatili wengi ni kwa sababu ya kukosa elimu,ndio huamini mambo ya kishirikina,hao usiwachezee,Watu wa mkoa wa Mara hao wanajulikana sitaki kuwaelezea.

Aliooingia madarakani aliteua watu kuyoka hiyo mikoa ili wamlinde,IGP,CDF, Hazina,Jaji mkuu,DPP
na wengine wengi tu,ila alijikuta anawaponza kwa amri zake ikaonekana watu wa hiyo kanda wana shida,Mabeyo peke yake ndio hakuchaguka na alisoma mchezo,siku ya mazishi akaona aongee speech ya hisia ili aonekane hakuwa tatizo.

Wazee wa chama wameliona hilo wamejiapiza kuwa Tanzania ni kubwa kuna Pwani,Kusini,Kaskazini,Kati,Nyanda za juu kusini,huko kote kuna watanzania makini wanaoweza kuongoza nchi ila sio kanda ya ziwa
 
Hatutoi uongozi kwa kuongozwa na hisia za ukabila na ukanda. Nyerere alikemea akatoa mfano wa" huyu mkara" chukua tahadhari hali hii inawagharimu Kenya na Rwanda. Tutateua kwa competence tu ndiyo msingi wa uongozi bora.
 
Back
Top Bottom