Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Sijui kama kuna Rais kama JPM

Kwa Upande wangu JPM ndy Rais wangu Bora kuwahi kutokea, Itachukuaa miaka kumpata Rais kama JPM. Mungu amlazee mahala Pema peponi
Kwako wewe sukuma gang
 
Busisi bridge, mto wami bridge, Sgr, ndege cash, hospital za wilaya rufaa na kanda, barabara, ujenzi wa makao makuu na kuhamia
 
Nini kilimtoa Prof. Assad offisini kama so kuhoji ufisadi wa lile chizi lenu
kutofautiana falsafa tu. wakati ule magufuli alikemea ufisadi lakini kwa point ambayo waliomzunguka walitumika kumuhujumu, pembeni yake kuna kundi kubwa la upinzani lilikua sawa kupinga lakin kwa malengo binafsi kiasi kwamba kuyumbisha wananchi wasiamini harakati za mwendazake . ndio maana vita ya magu na upinzani ilikua personal sana . CAG alisimama kwenye ukweli na uwazi . mwendazake alijua wimbi la raia kuhamisha fikra juu ya vitu vya kimaendeleo ambapo vingi alivyovianzisha viligubikwa na ufisadi so badala ya kumuunga mkono kwa kumpa moyo akaze uzi kwa wanaomuangusha ikaonekana yeye ndo yupo juu ya hayo yote so mzee alipaniki hapo
 
ALIWACHUKIA SANA WACHAGA, Alikuwa akisikia china la kichaga ni lazima aliassociate na wizi
 
Kwa kuwa tunaamini kimwili haupo na sisi ila kiroho upo na sisi, naomba nikupe taarifa hii.

1. Nyumba yetu uliyoiacha ikiwa haivuji kwa zaidi ya 91%, sasa inavuja karibu kila kona kwa zaidi ya 78%.

2. Panya na mchwa uliowafunika na jiwe zito ili wasiendelee kuleta usumbufu katika nyumba yetu, mlinzi wa nyumba amewafungulia na amewapa kazi ya kulinda ghala la chakula chetu.

3. Cha ajabu kabisa na cha kushangaza ni kwamba, mlinzi aliyewakaribisha panya na mchwa chumbani, ndiyo huyo huyo anayetoka hadharani kulalamika eti panya na mchwa wametafuna nguo na kuharibu chakula kilichohifadhiwa.

Mlinzi huyu kazi yake kubwa ni kulalamika tu bila hata kuwachukulia hatua kali hawa panya na mchwa ikiwa ni pamoja na kuwafukuza hapa nyumbani.

Kwa ujumla Baba, hali ya nyumba yetu si shwari kabisa.

RIP Shujaa wetu, JPM.
[emoji1787]
 
1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Trafic light Chato
4. 3 star hotel Chato (TANAPA)
5. Bohari ya kanda madawa Chato
6. Hospital ya rufaa Chato
7. Stadium (proposa)
8. CRDB Chato
9. Mahakama ya hadhi ya kanda
10. VETA hadhi ya kanda
11. Office za TANESCO hadhi ya juu
12. Office za Zimamoto
13. Mradi mkubwa wa Viwanja NHC
14. Shule ya kimataifa
MBONA umesahau mengi? Tanzania unayoiona Leo. Inayowaka mataa ni MAGUFULI. Tanzania unayoiona Leo kuku Sanyu fedha nyingi kutoka kwenye madini yetu ni MAGUFULI. Thamani ya Tanzania na kuwa na credit mzuri na uwezo mkubwa kulipa madani yetu ni MAGUFULI. TANZANIA SIO MASIKINI. KATUDHITISHIA KWA VITENDO. UTAPINGA, NA KUMUCHUKIA, LAKINI UKWELI HAUTAFUTIKA.
 
Alikuwa na mazuri yake km mwanadamu hakuwa mbaya kihivyo.
Nidhamu kwenye ofisi za serikali...
Sshivi mambo yamerudi km zamani
 
1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Trafic light Chato
4. 3 star hotel Chato (TANAPA)
5. Bohari ya kanda madawa Chato
6. Hospital ya rufaa Chato
7. Stadium (proposa)
8. CRDB Chato
9. Mahakama ya hadhi ya kanda
10. VETA hadhi ya kanda
11. Office za TANESCO hadhi ya juu
12. Office za Zimamoto
13. Mradi mkubwa wa Viwanja NHC
14. Shule ya kimataifa
Flyover za tazara,ubungo interchange,rada alizonunua, Magufuli city iliyoko dodoma,meli alizonunua,sgr,stigler gauge huoni,stend ya Magufuli dar huoni
 
MBONA umesahau mengi? Tanzania unayoiona Leo. Inayowaka mataa ni MAGUFULI. Tanzania unayoiona Leo kuku Sanyu fedha nyingi kutoka kwenye madini yetu ni MAGUFULI. Thamani ya Tanzania na kuwa na credit mzuri na uwezo mkubwa kulipa madani yetu ni MAGUFULI. TANZANIA SIO MASIKINI. KATUDHITISHIA KWA VITENDO. UTAPINGA, NA KUMUCHUKIA, LAKINI UKWELI HAUTAFUTIKA.
Bila shaka kale ka account chetu tulichoficha fedha China unakafaidi
 
Back
Top Bottom