mubhwe geniesama
Member
- Sep 11, 2024
- 54
- 121
Huyu aja chaguliwa na wananchi .hana uchungu na wananchiJiwe alikuwa mkosi kwa taifa.
Lkn vipi na huyu asiyejua chochote ?
Kitu gani hajui. Unajua sasa hivi biashara zimekuwa sana na mzunguko wa pesa ni mkubwa sana? Kama unajituma kufanya kazi sasa hivi pesa ipo nje nje. Mama mweledi mno anaamini sana utawala wa sheriaJiwe alikuwa mkosi kwa taifa.
Lkn vipi na huyu asiyejua chochote ?
Uchungu gani wakati mishahara imepanda sana ya wafanyakazi. Wale waliotimuliwa na magu kwa bifu eti wana vyeti hewa wamerudi kazini na familia zinashina. Ulitaka uchungu gani unaozidi huoHuyu aja chaguliwa na wananchi .hana uchungu na wananchi
Utawala wa sheria hauruhusu utekaji na mauaji ya watuMama mweledi mno anaamini sana utawala wa sheria
huyu mama mwenyewe anajitahidi kuwafanyia mambo mengi mazuri lakini mnamtukana wabongo wana jema basi?Yule bwana hakustahili hata kuwa mkuu wa wilaya kabisa. Ona mama anavyomproove wrong in almost all aspects.
Kipindi kile mambo mengi hayakuwa yanaenda na sasa yameanza kuleta effect, thanks to mama samia anayatatua slowly.
Mfano hivi we ni rais gania unafokafoka kila unayeongea naye as if ni mtofo wako. Hivi alijua maana ya sheria kweli? Sheria hairaki rais kukamata na kumhukumu hapohapo mtu eti ni fisadi, akimuonea kwa sababu huko nyuma wameshakosana! Mfano Manji.
Unaumiza mass kubwa kwa sababu ya bifu zako za ajabuajabu.
Nchi hii tumepitia kipindi kigumu sana.
Jpm aliteka sana na kuua lakini mama hajateka mtu hataUtawala wa sheria hauruhusu utekaji na mauaji ya watu
π€£π€£π€£Hii nchi πJiwe alikuwa mkosi kwa taifa.
Lkn vipi na huyu asiyejua chochote ?
Mzee kibao alijiteka na kujiuaJpm aliteka sana na kuua lakini mama hajateka mtu hata
Vyombo vinafatilia na soon wahuni watatiwa nguvuniMzee kibao alijiteka na kujiua
Watu wa design kama nyinyi hivi, inabidi tuwakusanye kwa pamoja, then tunawapiga kiberiti.. π€π€π€Yule bwana hakustahili hata kuwa mkuu wa wilaya kabisa. Ona mama anavyomproove wrong in almost all aspects.
Kipindi kile mambo mengi hayakuwa yanaenda na sasa yameanza kuleta effect, thanks to mama samia anayatatua slowly.
Mfano hivi we ni rais gania unafokafoka kila unayeongea naye as if ni mtofo wako. Hivi alijua maana ya sheria kweli? Sheria hairaki rais kukamata na kumhukumu hapohapo mtu eti ni fisadi, akimuonea kwa sababu huko nyuma wameshakosana! Mfano Manji.
Unaumiza mass kubwa kwa sababu ya bifu zako za ajabuajabu.
Nchi hii tumepitia kipindi kigumu sana.
Maendeleo ni watu siyo vitu. Ethiopia au sudani wana ndege more than 100 lakini watu wake wanalia kila siku wanakimbia maisha magumu kama ilivuokuwa kwa maguWewe Kikwete acha upuuzi wako. Wewe unajua kabisa kuwa Nyerere na Magufuli ndiyo marais bora, naona hilo linakuuma sana hasa miradi ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa SGR na bwawa la nyerere.
Daraja lilijengwa na serikali na rais alikuwa masimamizi tu. Rais hana pesa za kujenga darajaUtakuta unaandika yote haya alafu jioni unapita kwenye daraja alilojenga Magufuli Ubungo
Kinachowafanya MAZEZETA ya Bibi CHURA KIZIWI (Bibi chura kiziwi yeye mwenyewe vile vile ni ZEZETA)muendelee kupata jinamizi la CHUMA JPM ni kipi ikiwa mnajitapa kuwa kila kitu sasa shwari?Yule bwana hakustahili hata kuwa mkuu wa wilaya kabisa. Ona mama anavyomproove wrong in almost all aspects.
Kipindi kile mambo mengi hayakuwa yanaenda na sasa yameanza kuleta effect, thanks to mama samia anayatatua slowly.
Mfano hivi we ni rais gania unafokafoka kila unayeongea naye as if ni mtofo wako. Hivi alijua maana ya sheria kweli? Sheria hairaki rais kukamata na kumhukumu hapohapo mtu eti ni fisadi, akimuonea kwa sababu huko nyuma wameshakosana! Mfano Manji.
Unaumiza mass kubwa kwa sababu ya bifu zako za ajabuajabu.
Nchi hii tumepitia kipindi kigumu sana.