Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Magu alidhibiti wizi na ufisadi, wale wa njia halali za kupata kipato hawakuwa na shida nae! Hivi mnajua hali ya maisha mtaani? Au wengi wetu ni tuliomjini na hatujishughulishi na ndugu zetu walio pembezenu! Utasikia kila mtu abebe mzigo wake!
 
Yule bwana hakustahili hata kuwa mkuu wa wilaya kabisa. Ona mama anavyomproove wrong in almost all aspects.

Kipindi kile mambo mengi hayakuwa yanaenda na sasa yameanza kuleta effect, thanks to mama samia anayatatua slowly.

Mfano hivi we ni rais gania unafokafoka kila unayeongea naye as if ni mtofo wako. Hivi alijua maana ya sheria kweli? Sheria hairaki rais kukamata na kumhukumu hapohapo mtu eti ni fisadi, akimuonea kwa sababu huko nyuma wameshakosana! Mfano Manji.

Unaumiza mass kubwa kwa sababu ya bifu zako za ajabuajabu.

Nchi hii tumepitia kipindi kigumu sana.
 
Jiwe alikuwa mkosi kwa taifa.

Lkn vipi na huyu asiyejua chochote ?
Kitu gani hajui. Unajua sasa hivi biashara zimekuwa sana na mzunguko wa pesa ni mkubwa sana? Kama unajituma kufanya kazi sasa hivi pesa ipo nje nje. Mama mweledi mno anaamini sana utawala wa sheria
 
Huyu aja chaguliwa na wananchi .hana uchungu na wananchi
Uchungu gani wakati mishahara imepanda sana ya wafanyakazi. Wale waliotimuliwa na magu kwa bifu eti wana vyeti hewa wamerudi kazini na familia zinashina. Ulitaka uchungu gani unaozidi huo
 
Yule bwana hakustahili hata kuwa mkuu wa wilaya kabisa. Ona mama anavyomproove wrong in almost all aspects.

Kipindi kile mambo mengi hayakuwa yanaenda na sasa yameanza kuleta effect, thanks to mama samia anayatatua slowly.

Mfano hivi we ni rais gania unafokafoka kila unayeongea naye as if ni mtofo wako. Hivi alijua maana ya sheria kweli? Sheria hairaki rais kukamata na kumhukumu hapohapo mtu eti ni fisadi, akimuonea kwa sababu huko nyuma wameshakosana! Mfano Manji.

Unaumiza mass kubwa kwa sababu ya bifu zako za ajabuajabu.

Nchi hii tumepitia kipindi kigumu sana.
huyu mama mwenyewe anajitahidi kuwafanyia mambo mengi mazuri lakini mnamtukana wabongo wana jema basi?
 
Yule bwana hakustahili hata kuwa mkuu wa wilaya kabisa. Ona mama anavyomproove wrong in almost all aspects.

Kipindi kile mambo mengi hayakuwa yanaenda na sasa yameanza kuleta effect, thanks to mama samia anayatatua slowly.

Mfano hivi we ni rais gania unafokafoka kila unayeongea naye as if ni mtofo wako. Hivi alijua maana ya sheria kweli? Sheria hairaki rais kukamata na kumhukumu hapohapo mtu eti ni fisadi, akimuonea kwa sababu huko nyuma wameshakosana! Mfano Manji.

Unaumiza mass kubwa kwa sababu ya bifu zako za ajabuajabu.

Nchi hii tumepitia kipindi kigumu sana.
Watu wa design kama nyinyi hivi, inabidi tuwakusanye kwa pamoja, then tunawapiga kiberiti.. 🤒🤒🤒
 
Wewe Kikwete acha upuuzi wako. Wewe unajua kabisa kuwa Nyerere na Magufuli ndiyo marais bora, naona hilo linakuuma sana hasa miradi ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa SGR na bwawa la nyerere.
Maendeleo ni watu siyo vitu. Ethiopia au sudani wana ndege more than 100 lakini watu wake wanalia kila siku wanakimbia maisha magumu kama ilivuokuwa kwa magu
 
Yule bwana hakustahili hata kuwa mkuu wa wilaya kabisa. Ona mama anavyomproove wrong in almost all aspects.

Kipindi kile mambo mengi hayakuwa yanaenda na sasa yameanza kuleta effect, thanks to mama samia anayatatua slowly.

Mfano hivi we ni rais gania unafokafoka kila unayeongea naye as if ni mtofo wako. Hivi alijua maana ya sheria kweli? Sheria hairaki rais kukamata na kumhukumu hapohapo mtu eti ni fisadi, akimuonea kwa sababu huko nyuma wameshakosana! Mfano Manji.

Unaumiza mass kubwa kwa sababu ya bifu zako za ajabuajabu.

Nchi hii tumepitia kipindi kigumu sana.
Kinachowafanya MAZEZETA ya Bibi CHURA KIZIWI (Bibi chura kiziwi yeye mwenyewe vile vile ni ZEZETA)muendelee kupata jinamizi la CHUMA JPM ni kipi ikiwa mnajitapa kuwa kila kitu sasa shwari?


kwani AJUZA wenu si amefungua Nchi na kuleta WAWEKEZAJI kutoka kila pande ya Dunia? KUTAPA TAPA kunatoka wapi tena wewe JUHA?
 
Back
Top Bottom