tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Without vivid evidence to deny what has been said, keep your mouth closed.Without vivid evidence this is totally nonsense..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Without vivid evidence to deny what has been said, keep your mouth closed.Without vivid evidence this is totally nonsense..
Mihemko inapozidi ndo mnakuwa hivi, shauri yako mdomo uliponza kichwa!Mbona Jokate alifirwa
Weka picha ya Jokate akifirwa tukuamini we mhanga wa vyeti feki.Mbona Jokate alifirwa
Kunayo mengi zaidi ya hapo.Ila wale fukara wa Mali na akili hawawezi kukuelewa.eg aliharibu bei za mazao ya Kilimo kisa migogoro na majirani na kuvuruga diplomasia 😂😂Think of the following.
1. He killed ben saanane using his own gun
2. He killed azory gwanda using his own gun
3. He abducted Mo and forced him to disburse money
4. He was about to rape his depute and his wife was about to run away
5. He killed Ben mkapa because of his criticisms on him
6. He was about to kill kikwete, thanks to the minister of home affairs by that time
7. He killed the economy and forced us to call it the upper economy.
8. He banned all employment vacancies
9. He raised the charge of heslb from 3% to 15%.
10. He put forward the retention fee to graduates etc.
You meant all comments? Recommendations are quiet different from thread related comments.All recommendations has to be in English language.
If you don't have enough vocabularies keep distance.
ila alitoka sababuKuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika.
Majizi ndio yangekufa mapemaWatu wengi wangekuwa walishakufa kwa stress!
Ni kweli miradi ingekuwa imekwenda kwa kasi sana. Labda na mingine angekuwa kaanzisha. Maana Magu kwa miradi ya ujenzi alikuwa 💯💯💯💯💯Tanzania ingekuwa mbali kiuchumi,Treni ya SGR ingekuwa imefika Mwanza,Selikari yote ingekuwa imehamia Dodoma, Magereza yangekuwa yamejaa wahujumu uchumi,rushwa ingekuwa imekwisha kabisa,wanyonge ndiyo wangekuwa wanaongoza inchi,
Ongezea na ya kwako,,,,
Huyo ambaye Zitto Kabwe alimwita kuwa ni mshamba ndio unasema alikuwa bingwa wa propaganda kiasi cha kuwazidi wajanja kwa wananchi kumuamini yeye badala ya kuwaamini watoto wa mjini?Alikua bingwa wa propaganda, hayo yote wanyonge wangeamini kayafanya.