Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Ukurasa ulishafungwa katulia kimya pale kwake ndani ya kijumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rushwa isingeweza kuisha. Alifanya mengi mazuri lakini naye alikuwa ana watu wake ambao walikuwa wanapga deal bila kuguswa.Tanzania ingekuwa mbali kiuchumi,Treni ya SGR ingekuwa imefika Mwanza,Selikari yote ingekuwa imehamia Dodoma, Magereza yangekuwa yamejaa wahujumu uchumi,rushwa ingekuwa imekwisha kabisa,wanyonge ndiyo wangekuwa wanaongoza inchi,
Ongezea na ya kwako,,,,
Wewe propaganda zako zitafika wapi ilhali alieshika vyombo vya habari mpaka mitandao ni yeye.Huyo ambaye Zitto Kabwe alimwita kuwa ni mshamba ndio unasema alikuwa bingwa wa propaganda kiasi cha kuwazidi wajanja kwa wananchi kumuamini yeye badala ya kuwaamini watoto wa mjini?
Watu wengi wangekuwa wamepotea, ila kali zaidi ulilosema ni nchi kuongozwa na wanyonge 🤔🤔Tanzania ingekuwa mbali kiuchumi,Treni ya SGR ingekuwa imefika Mwanza,Selikari yote ingekuwa imehamia Dodoma, Magereza yangekuwa yamejaa wahujumu uchumi,rushwa ingekuwa imekwisha kabisa,wanyonge ndiyo wangekuwa wanaongoza inchi,
Ongezea na ya kwako,,,,
General Mbuge angekuwa Mkuu wa MajeshiTanzania ingekuwa mbali kiuchumi,Treni ya SGR ingekuwa imefika Mwanza,Selikari yote ingekuwa imehamia Dodoma, Magereza yangekuwa yamejaa wahujumu uchumi,rushwa ingekuwa imekwisha kabisa,wanyonge ndiyo wangekuwa wanaongoza inchi,
Ongezea na ya kwako,,,,
Mbona mitandaoni alikuwa anakosolewa kama humu JF yameelezwa mengi tu ya kumkosoa wakati akiwa bado hai, labda kumkosoa hadharani kitu ambacho hatuna utamaduni huo na ndio maana hata sasa hakuna ukosoaji wa aina hiyo.Wewe propaganda zako zitafika wapi ilhali alieshika vyombo vya habari mpaka mitandao ni yeye.
Ukimsema vibaya kesho haupo, utake utaeneza propaganda zake usitake basi kaa kimya kwa muda ili usije kalishwa kimya milele.
Kwamba kina Roma, Lissu na Lema walikua wanakosoa wakiwa jf sio??Mbona mitandaoni alikuwa anakosolewa kama humu JF yameelezwa mengi tu ya kumkosoa wakati akiwa bado hai, labda kumkosoa hadharani kitu ambacho hatuna utamaduni huo na ndio maana hata sasa hakuna ukosoaji wa aina hiyo.
Amefufuka????Wasalaam
Ukiangalia na kusikiliza hyo video utagundua tunaongozwa na viongozi wa aina gani, tumepotezwa na tunaenda shimoni.
Kwahiyo mkuu unataka kusema maovu ya Jiwe yamekuja kuongelewa baada ya yeye kufariki?Kwamba kina Roma, Lissu na Lema walikua wanakosoa wakiwa jf sio??
Hao wote walikula kona baada ya uhai wao kuwekwa rehani kisa ukosoaji, alietia neno kuhusu elimu yake mpaka leo hajulikani alipo.
Haukua uhuru bali uoga, sasa hivi uoga bado upo ila makali ya adhabu kidogo yamepungua na sio ya waziwazi.
Mengi yameongelewa baada ya yeye kudanja hata hivyo wengi hawajari maana kilichopo kinawanufaisha, na Jiwe alikua sehemu ya system sio rahisi kumtuhumu kwa mengi utacompromise system nzima.Kwahiyo mkuu unataka kusema maovu ya Jiwe yamekuja kuongelewa baada ya yeye kufariki?
🔴CCM Ilikuwa na Dhamira Njema, Lakini Wana CCM WameisalitiTrump kapiga pini bila watu kujiandaa.
Ulaya nayo na Japani wanaenda kupita mulemule bila watu kujiandaa .
Watu wameshitukizwa !!.