jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Cha ajabu anakumbukwa kwa mabaya zaid kuliko mazuriHiyo ilikuwa ni kauli ya Hayati Rais Magufuli aliitamka kwenye hadhira mahali fulani alipokutana na wananchi wake.
Kauli hiyo imekuwa maarufu sana kwa siku za hivi karibu.
Je,kauli ile inasadifu kitu gani?
Nenda tu kujitombashisho huko usukumani kwenu JIWE na mafashisti wenzie hakuna wakuwakumbukaHiyo ilikuwa ni kauli ya Hayati Rais Magufuli aliitamka kwenye hadhira mahali fulani alipokutana na wananchi wake.
Kauli hiyo imekuwa maarufu sana kwa siku za hivi karibu.
Je,kauli ile inasadifu kitu gani?
Hili jangili la roho za watuCha ajabu anakumbukwa kwa mabaya zaid kuliko mazuri
imani ni kitu kingine. reality ni kitu kingine.Hayati Mzee Magufuli alipata kusema maneno mawili ili Watanzania tufikishiwe watanzania wote.
1. Watanzania tuliombee Taifa letu
2. Viongozi wa Dini wajue Mungu ndiyo muweza
wa yote, wasitetereshwe juu ya imani zao,
wasimame kidete.
#Mathayo 26: 30#
Yesu akawaambia wafuasi wake, “Usiku wa leo ninyi nyote mtapoteza imani yangu kwangu. Maandiko yanasema, ‘Nitamwua mchungaji, na kondoo watatawanyika.’
Watanzania tuliombee taifa letu , Shetani anaelekea kutushinda.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nenda tu kujitombashisho huko usukumani kwenu JIWE na mafashisti wenzie hakuna wakuwakumbuka
Bibie basi weka hata zuli moja unalomkumbuka na sisi wanaume tujue tuanzie wapi.Kila binadamu ana mapungufu yake,kila mtu akumbukwe kwa mema na sio kwa mabaya,huo ndio ubinadamu,hakuna binadamu aliyekamilika,
Rest in Peace JP Magufuli.
Kuvihujumu vyama vya upinzani
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.
Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..
Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).
1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.
2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).
3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.
4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.
5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.
6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.
7.
Itaendelea...
PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Wewe taahira nilisha kutolea nje sina mpango wakuongeza mke wa pili,mbona unakua king'ang'anizi hivyo? Unajilengesha mpaka unatia kinyaa,endelea kuwagawia huko huko kitaani ulikozowea.Bibie basi weka hata zuli moja unalomkumbuka na sisi wanaume tujue tuanzie wapi.
Nimecheka ghafla jaman🤣Kilichokuwa hasa kinakuliza ni kitu gani?