Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Hiyo ilikuwa ni kauli ya Hayati Rais Magufuli aliitamka kwenye hadhira mahali fulani alipokutana na wananchi wake.

Kauli hiyo imekuwa maarufu sana kwa siku za hivi karibu.

Je,kauli ile inasadifu kitu gani?
 
Kila binadamu ana mapungufu yake,kila mtu akumbukwe kwa mema na sio kwa mabaya,huo ndio ubinadamu,hakuna binadamu aliyekamilika,

Rest in Peace JP Magufuli.
 
Hayati Mzee Magufuli alipata kusema maneno mawili ili Watanzania tufikishiwe watanzania wote.

1. Watanzania tuliombee Taifa letu

2. Viongozi wa Dini wajue Mungu ndiyo muweza
wa yote, wasitetereshwe juu ya imani zao,
wasimame kidete.

#Mathayo 26: 30#
Yesu akawaambia wafuasi wake, “Usiku wa leo ninyi nyote mtapoteza imani yangu kwangu. Maandiko yanasema, ‘Nitamwua mchungaji, na kondoo watatawanyika.’

Watanzania tuliombee taifa letu , Shetani anaelekea kutushinda.
imani ni kitu kingine. reality ni kitu kingine.
hakuna cha shetani wala nn. hayo ni mawazo yako.
usitembelee nyota ya marehemu
 
Kila binadamu ana mapungufu yake,kila mtu akumbukwe kwa mema na sio kwa mabaya,huo ndio ubinadamu,hakuna binadamu aliyekamilika,

Rest in Peace JP Magufuli.
Bibie basi weka hata zuli moja unalomkumbuka na sisi wanaume tujue tuanzie wapi.
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Kuvihujumu vyama vya upinzani
 
Bibie basi weka hata zuli moja unalomkumbuka na sisi wanaume tujue tuanzie wapi.
Wewe taahira nilisha kutolea nje sina mpango wakuongeza mke wa pili,mbona unakua king'ang'anizi hivyo? Unajilengesha mpaka unatia kinyaa,endelea kuwagawia huko huko kitaani ulikozowea.
 
YouTube link ya kifo cha marehemu Dr john Pombe magufuli imenifanya nikalia machozi

Tumempoteza shujaa wa taifa hili tukubali tukatae magufuli alikua na nafasi yake nitamkumbuka daima

Nimepitia hiyo YouTube link nikapitia comments nimejikuta nalia sana, maoni ya watu yamenifanya nilie sana

Huyu baba kaniuma jamani najua kuna watu hawampendi hawa hawakukubaliana naye ila huyu baba nae ni mtu jamani naye ana moyo kama wewe apo ana hisia kama wewe apo
Kwa haya maoni kuna mtu atapinga kwamba Dr jpm hakua shujaa kwa nafasi yake?



Ukipitia hiyo link soma comments
Nimelia sana, moyo una majeraha pumzika baba tutakumiss[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Shujaa aliyejengea wakwe zake Daraja la Busisi kwa bilioni 700?

Shujaa aliyeshindwa kuajiri wala kupandisha mishahara kwa miaka 6?

Shujaa aliyenyang'anywa demu na Mtela Mwampamba....?

Shujaa aliyesema Tanzania hamna Corona ila ikamfyekelea mbali yeye na katibu mkuu kiongozi wake?
 
Hata Adolf Hitler alipokufa watu walilia kwa hiyo sikushangai.
 
Back
Top Bottom