sisi atuangali Maneno yako tuna angalia watu wengi wanasemaje umeona leo dodoma kwenye kungamano .
Katika watu ambao hawapaswi kabisa kumcheka jiwe ni hawa chadema sijui ukawa. Ile flip ya kumuweka mamvi last minute mi sawa na baba mwenyewe nyumba kumkaribisha mgeni alale na mke wake. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ujinga mkubwa sana ule.mzee mimi niko timamu. Baki kwenye mada ya Magufuli. Nikisema hafai namlinganisha na vigezo vya kufaa sio Lowasa kwa sababu Lowasa sio kigezo. Huna cha kunidanganya kuhusu jiwe,ninaona vingi acha na hizi propaganda za majukwaani
Mtoto mdogo hukuwepo wakati nchi hii Ina neenaHe is My sons's legacy
Amenisaidia Mambo mengi.
JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewahi pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo
Naogopa nchi yetu inarudi shimoni
MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Highly exaggerated percentage. Only if you think as a tribe which is very unlikely.Sasa kama tuna account 40% ya wapiga kura mtatufanyaje? We have an upper hand inapofikia jambo la uchaguzi.
Yaani tushajua utamu wa uongozi na bado tuna wapiga kura wengi hivyo mpira uko upande wetu muda wote.
Nyie mtaishia kulia lia mitandaoni. Mtakua mnatuombea tu tufe labda.
Weye waishiwa niniMipambe yalisu hamuishiwagwi kujamba
Look at the numbers from NEC.Highly exaggerated percentage. Only if you think as a tribe which is very unlikely.
Wachaga ni watu wabaya sana. Hawataki kuona wenzao wanapata.1993 Benki Kuu Tanzania iliajiri wachaga tu kutoka BA Economics kutoka pale mlimani. Mimi nilikuwa muathirika wa nepotism hiyo.
Pale Busisi Kigongo Bridge pale alicheza iwapo litakamilika
Hata wewe ulidanganywa na viongozi wako kwa miaka mitano Lowasa fisadi,kwa vinywa vyao wakadai ushahidi wanao,2015 ndani ya masaa 24 mkasafisha jina mkaliondoa ktk list ya mafiasadi papa na akawa mgombea wenu.Ndio uzuri wa siasa ukiwa msahaulifu lazima upelekeshwe.
Mimi namuogopa sana mtu asiyekuwa na misimamo na anayepingana na alicho kiongea kwa kinywa chake,kwani kuna siku anaweza AKANA HATA JINSIA YAKE au akaligeuka taifa lake.
Ila yote kwa yote ndio demokrasia,unaloliona wewe baya,wenzako wanaliona zuri ila mimi Magu ni rais bora kwangu baada ya Nyerere itabaki kuwa hivyo labda atokee mwengine huko mbele.