Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna lolote!! Ila ni kweli wewe ni wakubishana na mashoga wenzako. Pole nilisahau mkuu.Umeelewa nilichoandika? Sistahili kabisa kukujibu, hebu tafuta wa size yako
Huyu naye fal tuYeah hatutaki kupata mtu kama yeye tena. Msikilize JK anachoongea hapo huenda akili zikakuaa vizuri
Unaweza Kukuta ana miaka 10 wala hajaenda kumjulia hali mama yake [emoji23] [emoji23]Kamkumbuke Hayati Mama yako Kule tuache na mama yetu. Wewe unazijua hotuba?
Bwege Kabisa.
Vipi sanamu mshaalitengeneza au badoSio kutembelea tu, tunalinda kaburi. Hakuna kama jpm
Kwani wanapewa bure au wanauziwa?Unawapelekeaje gesi (maligafi) wa kenya imagine ingekua wao wangekupa ILIPASWA TUWAUZIE UMEME NA MAGUFULI ALISHAANZA UJENZI WA TRANSIMISSION LINE
Naam, naona Mheshimiwa Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan akipita kwenye msingi mzuri.Yeah hatutaki kupata mtu kama yeye tena. Msikilize JK anachoongea hapo huenda akili zikakuaa vizuri
Hahhahahahahahahahahaha jamani umejua kunichekesha sanaSehemu alipopumzishwa ni chato. Tembelea.
Hahahhahahahahahahaa jamani nakufa kwa raha mieKamkumbuke Hayati Mama yako Kule tuache na mama yetu. Wewe unazijua hotuba?
Bwege Kabisa.
Hahahahaa mnapeana shift eh ndo imetoka hiyo mamiloooSio kutembelea tu, tunalinda kaburi. Hakuna kama jpm
Kwa muda sasa naona Chadema Mtandao wanafanikiwa hapa JF. Wanamsifia Samia sana, na hata ukimkosoa Samia watakupiga mawe kama mtu aliyefumaniwa. Hizi ndizo siasa maana JPM aliwapoteza sana na sasa wameona mwanga kwa udhaifu wa Samia ndiyo maana wanamshabikia (kinafiki) ili tukifika 2025 hao Ikulu kiulaini.Baada ya kusikiliza hotuba ya ssh akihutubia bunge la seneti na taifa kenya NIKAJIKUTA NAMKUMBUKA HAYAYI MAGUFULI
Pole yako tujipe muda kwanza maana tuliasisiwa ‘usifurahi mwanzoni’!Yeah hatutaki kupata mtu kama yeye tena. Msikilize JK anachoongea hapo huenda akili zikakuaa vizuri
Ntakujibu baadaye kiasi cadre mtiifu wa ccm!Kwa muda sasa naona Chadema Mtandao wanafanikiwa hapa JF. Wanamsifia Samia sana, na hata ukimkosoa Samia watakupiga mawe kama mtu aliyefumaniwa. Hizi ndizo siasa maana JPM aliwapoteza sana na sasa wameona mwanga kwa udhaifu wa Samia ndiyo maana wanamshabikia (kinafiki) ili tukifika 2025 hao Ikulu kiulaini.
kundi la pili linalomshabikia Samia na kumlinda hapa JF ani akinamama kama Wangari Maathai, wengi wao ni wale wabeijing! Mfume jike. Ni haki yao ila wakumbuke maendeleo ya nchi hayaletwi na umahaba bali kufanya kweli.
Yote kwa yote tutakieni Afya njema na Samia asubiri kuanzia 2023 ambapo hawa wote wanaomsifia na kumkingia kifua hapa JF watakapoanza kumnang’a asiamini macho yake. Naachia hapa nione mtifuano unavyoendelea maana wanaCCM hapa JF wamepoteana kama kesho Yanga itakavyopoteana masikini.
Kumuwaza chizi lazima uwe chizi kama weweSio kutembelea tu, tunalinda kaburi. Hakuna kama jpm