Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Unawapelekeaje gesi (maligafi) wa kenya imagine ingekua wao wangekupa ILIPASWA TUWAUZIE UMEME NA MAGUFULI ALISHAANZA UJENZI WA TRANSIMISSION LINE
 
Unawapelekeaje gesi (maligafi) wa kenya imagine ingekua wao wangekupa ILIPASWA TUWAUZIE UMEME NA MAGUFULI ALISHAANZA UJENZI WA TRANSIMISSION LINE
Kwani wanapewa bure au wanauziwa?
Hata wewe ukitaka unauziwa gesi. Nenda kaanze michakato gesi yote iliyokua wauziwe Kenya izuiye.
Shida yetu kama taifa ni kuvuna rasilimali zetu
 
Hivi refa anakayechezesha Simba na Yanga msimu huu keshatoa kadi nyekundu ngapi? nauliza hivyo kwa sababu naona kadi nyekundu zinameremeta tarehe 08/05/2021
 
Baada ya kusikiliza hotuba ya ssh akihutubia bunge la seneti na taifa kenya NIKAJIKUTA NAMKUMBUKA HAYAYI MAGUFULI
Kwa muda sasa naona Chadema Mtandao wanafanikiwa hapa JF. Wanamsifia Samia sana, na hata ukimkosoa Samia watakupiga mawe kama mtu aliyefumaniwa. Hizi ndizo siasa maana JPM aliwapoteza sana na sasa wameona mwanga kwa udhaifu wa Samia ndiyo maana wanamshabikia (kinafiki) ili tukifika 2025 hao Ikulu kiulaini.

kundi la pili linalomshabikia Samia na kumlinda hapa JF ani akinamama kama Wangari Maathai, wengi wao ni wale wabeijing! Mfume jike. Ni haki yao ila wakumbuke maendeleo ya nchi hayaletwi na umahaba bali kufanya kweli.

Yote kwa yote tutakieni Afya njema na Samia asubiri kuanzia 2023 ambapo hawa wote wanaomsifia na kumkingia kifua hapa JF watakapoanza kumnang’a asiamini macho yake. Naachia hapa nione mtifuano unavyoendelea maana wanaCCM hapa JF wamepoteana kama kesho Yanga itakavyopoteana masikini.
 
Kwa muda sasa naona Chadema Mtandao wanafanikiwa hapa JF. Wanamsifia Samia sana, na hata ukimkosoa Samia watakupiga mawe kama mtu aliyefumaniwa. Hizi ndizo siasa maana JPM aliwapoteza sana na sasa wameona mwanga kwa udhaifu wa Samia ndiyo maana wanamshabikia (kinafiki) ili tukifika 2025 hao Ikulu kiulaini.

kundi la pili linalomshabikia Samia na kumlinda hapa JF ani akinamama kama Wangari Maathai, wengi wao ni wale wabeijing! Mfume jike. Ni haki yao ila wakumbuke maendeleo ya nchi hayaletwi na umahaba bali kufanya kweli.

Yote kwa yote tutakieni Afya njema na Samia asubiri kuanzia 2023 ambapo hawa wote wanaomsifia na kumkingia kifua hapa JF watakapoanza kumnang’a asiamini macho yake. Naachia hapa nione mtifuano unavyoendelea maana wanaCCM hapa JF wamepoteana kama kesho Yanga itakavyopoteana masikini.
Ntakujibu baadaye kiasi cadre mtiifu wa ccm!
 
Back
Top Bottom