Exactly 👊Hii ndio point sasa, system kusumbua kwa masaa au siku mbili sio shida sana lakin kuna sehemu umeme unakatwa mwezi, miezi unawaka usiku tu na hakuna tamko lolote hii ndio inaumiza sana tena sana! Ndio maana mi naona makosa ya inconveniences kama hizi kuwe kuna adhabu kama za China tu ili viongozi wawe wanajua thamani ya waliowaweka pale na machungu ya kulipa kodi!
Unacheza na maneno lakini nia yako ni kushambulia awamu ya Mama kuwa ni dhaifu. kwa tasarifa yako umeme ulianz kusumbua kabla hata ya Mwendazake hajaenda zake! Yapo maeneo, tena Dar es Salaam, umeme haukuwa wa uhakika. kwanini unataka Mama amtumbue waziri wa umeme, lakini hukutaka Mwendazake amtumbue?
Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.
Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.
Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.
Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.
Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.
Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.
Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.
Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.
UPDATE:
Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!
Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Kwa sisi tunaoishi vijijini inakuaje? Tufunge safari mpaka Wilayani Tsh. 7000 ili kununua umeme wa 3500?SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA MANUNUZI YA LUKU KWENYE OFISI ZA TANESCO ZA MIKOA NA WILAYA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa, huduma ya manunuzi ya LUKU inapatikana kwenye ofisi za TANESCO za Mikoa na Wilaya, wakati wataalamu wetu wakiendelea na kazi ya utatuzi wa manunuzi kupitia njia za kielektroniki.
Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wakiendelea na kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa.
Tutaendelea kutoa taarifa kadri huduma itakavyo kuwa ikirejea na njia mbadala za kupata huduma.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Kituo cha miito ya simu makao makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya kijamii
Twitter: www.twitter.com/tanescoyetu
Facebook Tanesco Yetu
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mei 19, 2021.
acha ujinga bana,unadhani ni faida gani unapata kukaza mishipa unaandika uongo!!!!tanzania nzima ipi ambayo chato haipo sasa!!!Kama unaishi Chato sawa, lakini nje ya hapo hakuna sehemu isiyokatika umeme kpndi cha Mwendazake hakuna. Alafu kwa nyongeza, mwezi ulopita PM alienda kagua mfumo wa usomaji tiketi wa mwendokasi una zaidi ya miezi sita hufanyikazi, nakukumbusha tu ili isije kesho ukalalamika na kumtupia mama lawama juu ya mfumo huu.
Ushauri:
Ili ufanye biashara ya kunyoa vizuri lazima uwe na jenereta au mfumo wa Solar, nje ya hapo haupo siriazi na hiyo biashara
Tatizo magufuli alilazimisha kampuni/mashirika yote za serikali kuwatumia TTCL kwenye maswala ya mawasiliano wakati TTCL wenyewe hawajiwezi. Tatizo halijaanza leo kwenye mawasiliano ila kwa kuwa haikuruhusiwa kutoa taarifa enzi zake wengi mtaona ni jambo jipya kwa kuwa tu limewagusa wengi (watumiaji hata wa hali ya chini) Watu wanaolipa kodi TRA wameshazoe hali hii mbona.
hatukatai ni mama yenu,ila msiharibu kazi sababu hawezi kuwachapa.hiki ndicho tusichotaka.Haisaidii
Muombee tu apumzike kwa amani,
Alieshika usukani sasa ni mama yetu Samia Suluhu Hassan,mama la mama!
Tanzania oyeeeee
Unawezaje kuishi sehemu yenye mbanano hivyo? Jumlisha joto?mi naishi jiji la Dar Es Salaam, labda wewe ndio unaishi shimoni
hata simu yako ikizima na kuwaka maramoja kwa siku,utaipuuzia.Unacheza na maneno lakini nia yako ni kushambulia awamu ya Mama kuwa ni dhaifu. kwa tasarifa yako umeme ulianz kusumbua kabla hata ya Mwendazake hajaenda zake! Yapo maeneo, tena Dar es Salaam, umeme haukuwa wa uhakika. kwanini unataka Mama amtumbue waziri wa umeme, lakini hukutaka Mwendazake amtumbue?
Tanesco wametolea taarifa tatizo lipo...wewe mwanaJF unapingana nao..sijui tukuweke kwenye kundi gani?Kuna wajinga wamezusha eti umeme haununuliki kwenye simu nimewasceenia nilinunua Jana kupitia TIGO pesa saa 11 jioni wameingia mitini. Matendo anajifanya Mama ni mwiba Kwa vibaraka WA Dicteta waliachwa ndio maana wanampaka Mama matope asiyostahili.
Si juzi tu mlikuwa mkimponda kwa sababu ati haishughulikii Chadema ninyi jamaa ni vigeugeu sanaMama ana roho nzuri, mpole, msamehevu na muelewa, kwa sifa hizi za mama watendaji wa sekta nyingi watavurunda.
mikumi mingine kwa mama.
Mambo mengi ya hovyo yanarudi. Juzi niliongea na ndugu yangu wa tanga kasema Lile kundi la watoto wa ibilisi limerudi baada ya kutokomezwa kipindi Cha Magufuli. Kwa Sasa hata polisi hawajali Tena kulinda raia wanasubiri mgao toka kwa waporaji tuu.
Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.
Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.
Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.
Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.
Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.
Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.
Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.
Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.
UPDATE:
Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!
Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Soma Tena hajasema ulikuwa haukatiki. Ila ilikuwa Mara chache na ulirudi baada ya muda mfupi.kwamba kipindi chake umeme ulikuwa haukatiki?
umesahau mpaka nyuzi za malalamiko zilivyotamalaki humu Jf?
Watu wameshaanza kurudi kama zamani kwa kufanya kazi kwa mazoea na bila hata chembe ya wasiwasi, siku hizi watoa huduma kwenye taasisi za serikali wameanza kuwa na viburi, hakunawa kumuogopa tena. Tunarudi enzi za Msoga.
Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.
Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.
Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.
Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.
Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.
Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.
Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.
Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.
UPDATE:
Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!
Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Darasani sijui ulikuwa unafanya Nini. Kama haelewi kilichoandikwa hapa Basi endelea kushabikia saccos.Kipindi cha jpm umeme haukuwahi katika?