Mengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.
Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:
1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!
2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!
3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!
Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!
Kwani Kimei aliondolewa ama alistaafu?Je Jaji haya unaona ni busara yaendelezwe? Rais hana authority ya kumuondoa mtendaji mkuu wa Taasisi ambayo sio wholly owned na serikali!!! Kimei aliondolewa na Bodi yake na sio mwendazake.
Kwani Kimei aliondolewa ama alistaafu?
Mkuu ebu achana na JPM ,kadri unavyozidi kuleta mada zake watu wataendelea kupiga spana wakati tayari kashaenda.
Sijui alifikiria nini msukuma yule!!!au alidhani hatakufa?Huku chato ule uwanja wake wa ndege wa international umeanza kuota majani kwenye runway
Subiri povu kutoka Msoga gangMengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.
Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:
1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!
2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!
3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!
Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!
Roho yako mbaya haijengi. Sema ukweliAlikuwa mnafiki tu mbona walikuwa kibao tu aliowapa cheo zaidi ya kimoja tena afadhali zamani ilikuwa mtu cheo kimoja anagombea labda kwenye chama kingine ndio alikuwa anateuliwa lakini yeye alikuwa anateua mtu mmoja kwenye vyeo zaidi ya kimoja, yule alikuwa mbinafsi tu kujiona yeye ni zaidi ya wengine na alipenda kujipa sifa ya Umungu kwamba yeye hakosei na hataki kukosolewa ndio maana alikuwa anatumia nguvu kubwa kunyamazisha wale wote aliohisi ni wabaya kwake na akasahau kuwa ni binadamu kama wengine ambao hawajakamilika.
Kamwulize mwenyekiti wa kudumuBen Saanane
Azory
Akwilina
Roma
Tundu Lissu..
Kwa hiyo ndugu kama mtu amepata ajira mpya hakuna haja ya semina elekezi.Mengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.
Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:
1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!
2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!
3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!
Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!
Kwa hiyo ndugu kama mtu amepata ajira mpya hakuna haja ya semina elekezi.
Weka mambo wazi, unapinga semina kwa wansiasa au watumishi wa umma kama walimu ,manesi n.kZisifanyiwe kwenye mahoteli makubwa na kulipana posho!!! Hebu fikiria wabunge wanapopewa seminar ya kuwaelimisha mambo wasiyoyajua wanaomba walipwe posho na huku wanalipwa fedha za vikao vya bunge!!! Hawa ni wabunge walafi kupita kiasi!!!
Weka mambo wazi, unapinga semina kwa wansiasa au watumishi wa umma kama walimu ,manesi n.k
If you live in the past, the future will never find you.Mengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.
Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:
1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!
2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!
3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!
Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!
Lile train lililofufuliwa lilikuwa linaenda wapi??vipi mandege pia naskia hayatui arusha,uwanja wa KIA umefungwa pia.1.KUAPA KUTOPELEKA maendeleo KILIMANJARO NA ARUSHA.
Kimei ni mbunge kwa sasa kupitia ccm.2. kutengua wachagga wote waliokuwa kwenye nyadhifa, akina Kimei, Tenga, Shayo, Mramba wa TANESCo.
Mlitakiwa mdai tume huru kwanza kabla ya kuingia vitani na silaha za plastiki.3. KUIBA KURA 95%
Almfokeaje4. Kumfokea padre na sista akiwa madhabahu ya Katoliki [st peters]
Nashukuru wamasai waliendelea kuzipata,akina laizer nk.5. kuzuia wachagga wasichukue Tanzanite mererani kwa kujenga ukuta na kulinda na wajeda ila
Jk aliwapa,na bado mkamwita dhaifu.KUZIPELEKA KWA KAGWAAME.
5. kukataa katiba mpya.
Mungu ndiye anajua nani wa kwake,Mungu hana chawa wa kumsemea kama unavyotaka kujiweka hapo.6. Kumtaja Mungu mdomoni huku moyoni mwake akijua hayupo kwa matendo yake.
Hili ni personal sana inaonekana uliumia kuliko mkewe😂😂7. Kusifia wanawake weupe huku akijua mkewe ni mweusi.
Ndugu yai hakwenda nje kipindi chake?1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!
Polepole hakuwa Katibu mwenezi wakati huohuo Mbunge?2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!
Mashangingi yenye namba ST.., SU, DFP yaliyokuwa yanajaa pale Nashera Morogoro yalikuwa yanampeleka nani3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!
Habari za leo bwana massawe1.KUAPA KUTOPELEKA maendeleo KILIMANJARO NA ARUSHA.
2. kutengua wachagga wote waliokuwa kwenye nyadhifa, akina Kimei, Tenga, Shayo, Mramba wa TANESCo.
3. KUIBA KURA 95%
4. Kumfokea padre na sista akiwa madhabahu ya Katoliki [st peters]
5. kuzuia wachagga wasichukue Tanzanite mererani kwa kujenga ukuta na kulinda na wajeda ila KUZIPELEKA KWA KAGWAAME.
5. kukataa katiba mpya.
6. Kumtaja Mungu mdomoni huku moyoni mwake akijua hayupo kwa matendo yake.
7. Kusifia wanawake weupe huku akijua mkewe ni mweusi.
😀7. Kusifia wanawake weupe huku akijua mkewe ni mweusi.
Dr. Abas unamfahamu? Alikuwa na vyeo vingapi?Mengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.
Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:
1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!
2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!
3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!
Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!