Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.

Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:

1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!

2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!

3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!

Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!

Mkuu ebu achana na JPM ,kadri unavyozidi kuleta mada zake watu wataendelea kupiga spana wakati tayari kashaenda.
 
Je Jaji haya unaona ni busara yaendelezwe? Rais hana authority ya kumuondoa mtendaji mkuu wa Taasisi ambayo sio wholly owned na serikali!!! Kimei aliondolewa na Bodi yake na sio mwendazake.
Kwani Kimei aliondolewa ama alistaafu?
 
Kwani Kimei aliondolewa ama alistaafu?

Kustaafu maana yake muda wako umefika kisheria hivyo lazima uondoke na hasa serikalini!!! Kwenye mashirika inategemeana na utendaji wako kama bodi yako inaona unafaa; Kimei pale CRDB, benki ilillimbikiza madeni chefu chefu mengi kutokana na kutoa mikopo kiholela kwa jamii ya wakina Manji na hivyo faida ya benki kupungua ndipo bodi ikaamua kumpumzisha!!!
 
Mkuu ebu achana na JPM ,kadri unavyozidi kuleta mada zake watu wataendelea kupiga spana wakati tayari kashaenda.

Mnyongeni lakini pia hana budi kupewa haki yake!!! Hakuna mtu kakatazwa kupiga spana , ndio mwendo wenyewe siku hizi watu watoe nyongo!!
 
Mengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.

Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:

1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!

2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!

3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!

Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!
Subiri povu kutoka Msoga gang
 
Alikuwa mnafiki tu mbona walikuwa kibao tu aliowapa cheo zaidi ya kimoja tena afadhali zamani ilikuwa mtu cheo kimoja anagombea labda kwenye chama kingine ndio alikuwa anateuliwa lakini yeye alikuwa anateua mtu mmoja kwenye vyeo zaidi ya kimoja, yule alikuwa mbinafsi tu kujiona yeye ni zaidi ya wengine na alipenda kujipa sifa ya Umungu kwamba yeye hakosei na hataki kukosolewa ndio maana alikuwa anatumia nguvu kubwa kunyamazisha wale wote aliohisi ni wabaya kwake na akasahau kuwa ni binadamu kama wengine ambao hawajakamilika.
Roho yako mbaya haijengi. Sema ukweli
 
Mengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.

Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:

1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!

2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!

3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!

Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!
Kwa hiyo ndugu kama mtu amepata ajira mpya hakuna haja ya semina elekezi.
 
Kwa hiyo ndugu kama mtu amepata ajira mpya hakuna haja ya semina elekezi.

Zisifanyiwe kwenye mahoteli makubwa na kulipana posho!!! Hebu fikiria wabunge wanapopewa seminar ya kuwaelimisha mambo wasiyoyajua wanaomba walipwe posho na huku wanalipwa fedha za vikao vya bunge!!! Hawa ni wabunge walafi kupita kiasi!!!
 
Zisifanyiwe kwenye mahoteli makubwa na kulipana posho!!! Hebu fikiria wabunge wanapopewa seminar ya kuwaelimisha mambo wasiyoyajua wanaomba walipwe posho na huku wanalipwa fedha za vikao vya bunge!!! Hawa ni wabunge walafi kupita kiasi!!!
Weka mambo wazi, unapinga semina kwa wansiasa au watumishi wa umma kama walimu ,manesi n.k
 
Weka mambo wazi, unapinga semina kwa wansiasa au watumishi wa umma kama walimu ,manesi n.k

Soma vizuri nimesema matumizi mabaya ya fedha za serikalini!!! Siasa waachie kwenye vyama vyao watajuana wenyewe na seminar zao!!!
 
Mengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.

Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:

1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!

2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!

3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!

Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!
If you live in the past, the future will never find you.
Aluta continua
 
1.KUAPA KUTOPELEKA maendeleo KILIMANJARO NA ARUSHA.
Lile train lililofufuliwa lilikuwa linaenda wapi??vipi mandege pia naskia hayatui arusha,uwanja wa KIA umefungwa pia.
2. kutengua wachagga wote waliokuwa kwenye nyadhifa, akina Kimei, Tenga, Shayo, Mramba wa TANESCo.
Kimei ni mbunge kwa sasa kupitia ccm.
3. KUIBA KURA 95%
Mlitakiwa mdai tume huru kwanza kabla ya kuingia vitani na silaha za plastiki.
4. Kumfokea padre na sista akiwa madhabahu ya Katoliki [st peters]
Almfokeaje
5. kuzuia wachagga wasichukue Tanzanite mererani kwa kujenga ukuta na kulinda na wajeda ila
Nashukuru wamasai waliendelea kuzipata,akina laizer nk.
KUZIPELEKA KWA KAGWAAME.
5. kukataa katiba mpya.
Jk aliwapa,na bado mkamwita dhaifu.
6. Kumtaja Mungu mdomoni huku moyoni mwake akijua hayupo kwa matendo yake.
Mungu ndiye anajua nani wa kwake,Mungu hana chawa wa kumsemea kama unavyotaka kujiweka hapo.
7. Kusifia wanawake weupe huku akijua mkewe ni mweusi.
Hili ni personal sana inaonekana uliumia kuliko mkewe😂😂
 
1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!
Ndugu yai hakwenda nje kipindi chake?
Makonda hakwenda nje kipindi chake?
2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!
Polepole hakuwa Katibu mwenezi wakati huohuo Mbunge?
3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!
Mashangingi yenye namba ST.., SU, DFP yaliyokuwa yanajaa pale Nashera Morogoro yalikuwa yanampeleka nani
 
1.KUAPA KUTOPELEKA maendeleo KILIMANJARO NA ARUSHA.
2. kutengua wachagga wote waliokuwa kwenye nyadhifa, akina Kimei, Tenga, Shayo, Mramba wa TANESCo.
3. KUIBA KURA 95%
4. Kumfokea padre na sista akiwa madhabahu ya Katoliki [st peters]
5. kuzuia wachagga wasichukue Tanzanite mererani kwa kujenga ukuta na kulinda na wajeda ila KUZIPELEKA KWA KAGWAAME.
5. kukataa katiba mpya.
6. Kumtaja Mungu mdomoni huku moyoni mwake akijua hayupo kwa matendo yake.
7. Kusifia wanawake weupe huku akijua mkewe ni mweusi.
Habari za leo bwana massawe
 
Mengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.

Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:

1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!

2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!

3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!

Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!
Dr. Abas unamfahamu? Alikuwa na vyeo vingapi?
 
Back
Top Bottom