Ni zaidi ya siku mia moja kama tukizingatia tarehe halisi aliyokufaHabari za Asubuh waungwana..!
Leo tarehe Jun 25 ni siku ya 100 tangia Hayati Mh John Pombe Magufuli afariki Dunia, Kama Watanzania tuna nini chakukivunia kwa JPM?
Binafsi namuenzi Dr. John Magufuli kwa kufanya kazi nikiamini jitihada zangu ndiyo zitaniletea maendeleo yangu.
Pumzika Salama Magufuli
Nitakukumbuka Daima.View attachment 1829123
Sent using Jamii Forums mobile app
Tarehe akiyoongea na yule jamaa aliyetunbuliwa na mama. Meko alikuwa na kipaji, yani anaongea akiwa kashadediNi zaidi ya siku mia moja kama tukizingatia tarehe halisi aliyokufa
[emoji2][emoji2][emoji2]Tarehe akiyoongea na yule jamaa aliyetunbuliwa na mama. Meko alikuwa na kipaji, yani anaongea akiwa kashadedi
Pole sana Mkuu! Bora Hayupo maana ungekua DC huenda ungekua na genge la kuingia Bar na Hotel kula bure then unang'oa magoma kinguvu!Magufuli angkuwepo Leo hii ningekuwa DC
Jembe letu hili👆🙌Habari za Asubuh waungwana..!
Leo tarehe Jun 25 ni siku ya 100 tangia Hayati Mh John Pombe Magufuli afariki Dunia, Kama Watanzania tuna nini chakukivunia kwa JPM?
Binafsi namuenzi Dr. John Magufuli kwa kufanya kazi nikiamini jitihada zangu ndiyo zitaniletea maendeleo yangu.
Pumzika Salama Magufuli
Nitakukumbuka Daima.View attachment 1829123
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za Asubuh waungwana..!
Leo tarehe Jun 25 ni siku ya 100 tangia Hayati Mh John Pombe Magufuli afariki Dunia, Kama Watanzania tuna nini chakukivunia kwa JPM?
Binafsi namuenzi Dr. John Magufuli kwa kufanya kazi nikiamini jitihada zangu ndiyo zitaniletea maendeleo yangu.
Pumzika Salama Magufuli
Nitakukumbuka Daima.View attachment 1829123
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya woga na kinafiki.Alitengeneza nidhamu
Tumerudi nyuma kwa kasi ya ajabu.
Ujambazi
Ukwepaji kodi
Corona
Madawa ya kulevya
Huyu jasiri aendelee kupumzika kwa amani. Aliipenda Tanzania na wenye akili wakamuelewa vyema kwa upana alikuwa na dira ya aina gani.Habari za Asubuh waungwana..!
Leo tarehe Jun 25 ni siku ya 100 tangia Hayati Mh John Pombe Magufuli afariki Dunia, Kama Watanzania tuna nini chakukivunia kwa JPM?
Binafsi namuenzi Dr. John Magufuli kwa kufanya kazi nikiamini jitihada zangu ndiyo zitaniletea maendeleo yangu.
Pumzika Salama Magufuli
Nitakukumbuka Daima.View attachment 1829123
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi hii ina watawala wengi kuliko viongozi.Tumerudi nyuma kwa kasi ya ajabu.
Ujambazi
Ukwepaji kodi
Corona
Madawa ya kulevya
Uongozi wa sasa ndo unafanya tuone ile nidhamu ilikuwa ya kinafikiYa woga na kinafiki.
Uongozi wa sasa ndo unafanya tuone ile nidhamu ilikuwa ya kinafiki
Nitamkumbuka kwa kunidhulumu stahiki zangu kwa miaka sita nikiwa kama mtumishi wa umma. Mbaya zaidi na huyu aliyemuachia kijiti naye kama hasomeki vile!!Habari za Asubuh waungwana..!
Leo tarehe Jun 25 ni siku ya 100 tangia Hayati Mh John Pombe Magufuli afariki Dunia, Kama Watanzania tuna nini chakukivunia kwa JPM?
Binafsi namuenzi Dr. John Magufuli kwa kufanya kazi nikiamini jitihada zangu ndiyo zitaniletea maendeleo yangu.
Pumzika Salama Magufuli
Nitakukumbuka Daima.View attachment 1829123
Sent using Jamii Forums mobile app