Nilicho jifunza ni kwamba Mungu ni Mkuu Siku zote na amejidhihirisha. Tumuogope Mungu kwa dhati na tujue kuwa maisha ya dunia ni ya kupita. Hata uwe nani...
 
 
Ushindi wa 100% katika kuchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi wa wabunge 2020.

Sijui alitumia ufundi gani
 
Mjanja alikuwa anajua tricks za wapiga deal

 
Namba saba mkuu umeua[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nakumbuka ile kauli ya kufunga dimba, HAYO MAVI YAKO BAKI NAYO TUMBONI.!!!!cheeee!!!
 
Siku 100 tayari?
Siku mbona zinakimbia sana jamani, si kafa juzi tu hapa?
Kipindi cha awamu ya 5 siku zilikuwa zinatembea te teeh, siku moja ina masaa 36.
Ilisemekana siku ina masaa 48
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…