kijani kibichi
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 315
- 315
Ilikuwa hatari sana muda wowote unapoteza maisha!siku 100 zilizopita mpaka kukomet tulikuwa tunaogopa wasiojulikana.
Naona Moderator unapambana kila namna upate pa kuuficha huu uzi.Watanzania ni viumbe wanafiki sana Duniani. Nlijifunza kitu kwa wazungu.
"Mzungu anaweza kusema kabisa Komeo simkubali,simpendi ila jambo hili alilifanya lilikuwa zuri. Lakini bado simpendi"
Sisi Waswahili tukimchukia mtu tunamchukia na kila analolifanya hata kama jema. Tunendeleza mihemko,jazba na chuki binafsi. Hata jamaa akitembea juu ya maji lets say baharini au ziwani tutasema
"jamaa anatumua vumbi sana na kuchafua mazingira"
Mazuri ya Magufuli:
1. Miradi ya madaraja kupunguza msongamano ni miradi mizuri iliyotumika kwa pesa za watanzania. Hata kama kuna waliowaza before lakini kuwaza si kutenda
2. Mradi wa SGR ni mradi superb kwa ajili ya maendeleo ya mikoa husika na Tanzania kwa ujumla. Miaka ya nyuma mradi kama huu ungekwamishwa sana kwa sababu ya wamiliki wa magari ya mizigo kutoupenda kabisa. Aliweza kuchukua hatua.
3. Daraja la Busisi na miradi mingi ya Barabara nchi nzima. Lakini alijitahidi sana kuzuia Ufisadi uliokuwa umeota mizizi awamu zilizopita.
Mabaya ya Magufuli.
1. Aliamini mtu anayempiga au asiyekubaliana naye ni adui yake. Hivyo akasababishwa kuzungwa na wanafiki wengi sana ndani na nje ya chama chake isipokuwa wapinzani wachache.
2. Alikuwa anaamini WAPINZANI WOTE NI WAPIGA DEAL TU kama ambavyo aliona waliokuwa wakipiga deal kupitia siasa awamu zilizopita.
3. Aliamini Wafanyiabiashara wengi walikuwa wapigaji kama ilivyokuwa awamu za awali. Hivyo akagombana nao wengi sana hasa pia waliokuwa kweli wapigaji kama akina Manji Kwa Mujibu wa Chadem List of Shame na Mafisadi Papa.
MIMI MTANZANIA NIMEISHIA HAPO.
Pia nakaribisha mapozi mengi tu kwa wale ambao watu wao watakuwa wameguswa. Hamna cha kunifanya Hili ni Jukwa Huru sijavunja sheria yoyote ile.
Mkuu Lala Upumzike.. Upate Akili ya Kutafuta Ugali wa Watoto wako Kesho
Ujinga wa nani sasaπ π π wa kwako au!?....ni rais bora kuwahi tokea duniani .
Note: Hapa ndipo thamani ya ujinga wako ilipojikita.
Hadi kuniona humu jua kuwa natumia hela, nina miradi yangu mingi tu ambayo hata nikiamua kutokufanya kazi mpka miaka 100 ijayo nitaendelea kula vizuri na kusomesha ndugu, familia na wasiojiweza kama navyofanya sasa.Mkuu Lala Upumzike.. Upate Akili ya Kutafuta Ugali wa Watoto wako Kesho
Pinga kitu kwa hoja mkuu...sio unaropoka tu.....ni rais bora kuwahi tokea duniani .
Note: Hapa ndipo thamani ya ujinga wako ilipojikita.
Pole Sana Watu wenye Miradi ya Aina Hiyo Huwa hawana Akili Kama zako. Hata hivyo shukuru nimekujibu koment yako. GooddayHadi kuniona humu jua kuwa natumia hela, nina miradi yangu mingi tu ambayo hata nikiamua kutokufanya kazi mpka miaka 100 ijayo nitaendelea kula vizuri na kusomesha ndugu, familia na wasiojiweza kama navyofanya sasa.
David Ben Gurion hakuwa mpumbavu kama wewe...unafmdhalilisha hilo jina mkuu.Pole Sana Watu wenye Miradi ya Aina Hiyo Huwa hawana Akili Kama zako. Hata hivyo shukuru nimekujibu koment yako. Goodday
Ujinga wa yeyote anayesapoti ujinga.Ujinga wa nani sasa[emoji28][emoji28][emoji28] wa kwako au!?
Kama weweπ π πUjinga wa yeyote anayesapoti ujinga.
πππMnahaha. Asilimia kubwa ya Watanzania wamefurahi Mwendazake kuondoka, na hizo habari za legacy zimebaki kwenu tu