Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Sisi kwetu tunasubiri amalize muda wake maana hatuamini Kama tunaraisi kikwetu familia inayoongozwa na mwanamke huwa haiheshimiki yaani wakurya, wasukuma tunapata taabu sana Kwanza nchi inarudi kwa Kiwete kule alikotutoa Mpambanaaji anko Magu nchi ameinyosha harafu huyu mwenye maumbile ya kike yule mwanamke ,,Sjui Kama nchi yetu ya kusadikika tutaifikia MOLA tusaidie la sivyo mfumo huu utaturudisha na kutupeleka mbele kwa kuupolomosha uchumi wetu kwa speed ya 4G..
Tukae kama bunge tubadilishe katiba halafu tumlazimshe atawale mpaka atakapoamua kuacha mwenyewe.

Ndiooo. Atalazimishwa take asitake.

Sasa pale penye Menda Jake veve Veka mama Shamia shuluhu hashaann
 
Mkataba wa ununuzi wa ndege uko wapi?

Mkataba wa ujenzi wa SGR uko wapi?

Mkataba wa ujenzi wa bwawa la umeme uko wapi?

Mnaoomba mkataba wa Ujenzi wa bandari bagamoyo sawa mna hoja ila na Mimi nataka hii mkataba ya Ndege, SGR na bwawa la umeme
lililokata miti elfu moja hata hatujui hiyo miti ilipelekwa wapi?

Uzalendo wa Magufuli uko wapi?
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Hakuna hata moja naweza mkumbuka
 
Dr Magufuli lanced the boil in the Government. I know our Senior Public Servants chafe at the use of such language. But they – and we – know the Executive has traditionally been aloof and marked by impropriety and illegality.

It’s that boil that Dr Magufuli will be remembered for lancing. But as I remarked to him recently, one or two things can happen when you lance a boil – you can either cure or kill the patient. The septic shock can be fatal. The body can also be cleansed and nursed to health. He brought service delivery closer to the people in the remotest reaches of the republic.He revolutionised the way the public service work, and brought technology and empiricism to tame corruption, incompetence, and laziness.

Finally, I believe there will never be another JPM. But whoever succeeds him is bound by the energies that he unleashed. Those who believe that we can go back to the pre-John Pombe Joseph Magufuli Executive are sadly mistaken.

You can’t un-ring a bell that’s been rang. The concept doesn’t exist in science. The poor soul who succeeds Dr Magufuli shouldn’t try to fill his shoes. Those are too large. She needs to cure the patient she think is sick while it is otherwise. I have never seen DOMO-CRACY on any dinner table.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Sikupata nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja
 
Kipindi Cha dhalimu jiwe ilikuwa ukiona defenda ya polisi mtaani kwenu basi amani inapotea kabisa na watu hujuficha hata kama hawana makosa,

Lakini sikuhizi defenda zinabeba hadi wagonjwa kuwasaidia kuwapeleka hospitali.

Asante mama, unapiga mwingi.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Kila nikiona afrika wanavyo mlilia magufuli ndipo na amini ukweli nabii akubaliki kwao.

Many countries in Africa trust magufuli was a king of afrika kuna wa Tanzania wanao mtukana kumuita ni jambazi, katili na majina mengi mabaya mabaya my friend ukitaka kujua samani ya aliye kuwa kiongozi wenu JPm try to ask others countries.

Kama ufaransa kuna Kaka alimpiga mzungu eti kisa alisema magufuli alijafanya mkali covid akawa mkali zaidi waka anza kurushiana maneno mkali makali.

Magufuli alitaka kutuaminisha kuwa bila wazungu tuna weza. And believe me in next years TZ ungeli kuwa one of the powerful country in The world.

Lakini alicho kuwa na kifanya magufuli Ali kuwa na taka kuambia awa Wajenga wanao jiona wao ndo Mungu watu kuwa ata bila wao Tanzania ina weza na ukweli mngeliweza kama kuna dugudugu fulani amini usiamini singeli isha.

Ok ila ipo siku samani ya magufuli itaonekana tu kama sio kwa kizazi iki basi kizazi kijacho Kitaona samani yake na mawazo yake ya kutaka Tanzania mjitegemea wata Ifanyia kazi.

Sorry kwa Kiswahili changu my friend I’m not Tanzania.
 
Kama sivyo mfuateni mukasaidiane kukoleza moto wa jehanamu,sasa hivi tuna mama Samia, watumishi wanapandishwa madaraja, vyeo vinapanda kwa kwenda mbele, waliobambikizwa kesi wanaachiwa huru, kimataifa ndio usiseme amerudisha uhusiano wa kimataifa, n.k na kazi inaendelea.
 
Back
Top Bottom