Watu wanaomsifu Meko wanaangukia ktk moja ya makundi haya;
1- Makada was CCM, hawa wanamsifu bila choice, wakati mwingine kinafiki, kwasabu wasiposifu waaonekana wasaliti.
2- Watu wasio wapambanaji (kula kulala), hawa hawaoni changamoto za kiuchumi ambazo watu wapambanaji wanaziona kwenye utafutaji, hawa ni kuamka, kula, kuangalia muvi na kulala.
3- Watu ambao hawajui lolote linaloendelea duniani, hawa huangalia TBC muda wote, so wamejazwa na propaganda za kipuuzi za TBC, wakiambiwa tupo kwenye vita ya uchumi wanaamini, hawajiulizi "ni nani atapoteza muda kupambana na maskini?", wakiambiwa sisi ni tajiri, wanashangilia tu.