Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70....
Wewe unaona kupata hasara ndiyo ujanja?

Unaelewa Marekani ndiyo nchi iliyoanzisha usafiri wa ndege, na leo hii haina shirika la ndege la taifa.

Unafikiri hao Wamarekani ni wajinga?
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70...
Acha UONGO na mmezoea sana kuongopa,sasa wewe kupata hasara ni sifa nzuri kwako?kinachoongelewa hapa sio hasara ya kibiashara but ni wizi mkubwa wa Mali yangu,wewe ndio utamkumbuka maana ulinufaika naye ..middle class unayejifanya umepatia maisha
 
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Ni vyema ukawa specific kwamba Ndugai anawahamasisha wabunge wa CCM kusitisha ununuaji wa ndege. Ukisema 'wanataka' unakuwa ni kama unajaribu kuwaficha wahusika
 
Inasikitisha sana kwakweli.Magufuli alikuwa na msimamo na nia thabit ya kuinua uchumi wa nchi.Ila kwa sasa naona kama tumepoteza mwelekeo.Rais anasimama anasema waziwazi tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji!

Anaruhusu wawekezaji waje na watu wao bila kujali ajira za wazawa.Hana msimamo mambo ambayo alitakiwa azungumzie ofisini anaweka hadharani au alijua JPM alikuwa mjinga kutokusema hadharani baadhi ya mambo?

Huko ni kutengeneza panic na porojo ambazo zitamuondolea focus ya maendeleo na hazitamuongezea chochote!
 
Kupata hasara sio jambo la kujisifia. Kupata hasara sio mashindano.

Kama mke wa jirani yako kaliwa juzi naww mkeo akiliwa leo na mchepuko utaleta uzi wa kumsifia hapa?

Acheni mambo ya kijinga, umaskini sio sifa.
Hajielewi huyo mtoa mada....
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70..
Mkuu we una akiri kweli. Yaani unafanya biashara ya hasara na we bado unaendelea tu! Mashirika ya ndege kwa nchi zenye akili yanaendeshwa thru ppp
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Wewe unataka hasara ifike shilingi ngapi? unajua share za serikali ya Kenya kwenye KQ ni chini ya 50%.....huo mzigo wa hasara unataka nani abebe...
 
Inasikitisha sana kwakweli.Magufuli alikuwa na msimamo na nia thabit ya kuinua uchumi wa nchi.Ila kwa sasa naona kama tumepoteza mwelekeo.Rais anasimama anasema waziwazi tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji! Anaruhusu wawekezaji waje na watu wao bila kujali ajira za wazawa.Hana msimamo mambo ambayo alitakiwa azungumzie ofisini anaweka hadharani au alijua JPM alikuwa mjinga kutokusema hadharani baadhi ya mambo? Huko ni kutengeneza panic na porojo ambazo zitamuondolea focus ya maendeleo na hazitamuongezea chochote!
Wawekezaji wanatakiwa Nchi yeyote hata China na USA zenye wawekezaji wa kutosha ila bado wanaweka mazingira mazuri kwa wawekezaji wapya nchi bila wawekezaji wawe wa nje au ndani haiwezi kuendelea..
 
Mama samia ndio kwanzaa ameanza hata mwezi hajafikisha mmeshaanza kukosoa....hilo neno "Tutamkumbuka" halisaidii kwa sasa mzee, na sio kwamba atafufuka atakuja kuliongoza taifa, ameshafariki kwa maana hatunae tena, sasa tuko na mama samia.


Huyu mama navyoona uelekeo wake utakuwa na manufaa makubwa kwa wananchi wote, wafanyabiashara wa ndani na nje.....kingine kinachotupa matumaini kwa huyu mama samia ni Mtu wa Mungu, ana imani kweli kweli hata swala la wafanyabiashara hataki wanyanyaswe, umeona TRA anavyowanyoosha!!!! Na bado mpaka Uozo/mabaki yote yaishe pabaki pasafi....aise sina hamunao.....nyambafu kabisa 😡


Bado Shirika la Tanesco akawanyooshe kidogo, bei ya umeme iko juu sana......wakati gesi na maji tunayo mengi....Dawasco pia.....
 
Mkuu we una akiri kweli. Yaani unafanya biashara ya hasara na we bado unaendelea tu! Mashirika ya ndege kwa nchi zenye akili yanaendeshwa thru ppp
Wakati shirika la ATCL limesimama nauli ya toka kigoma kwenda dar ilikuwa laki saba. Magufuli amefufua ATCL nauli ilishuka hadi laki tati ambayo ni nusu ya nauli ya precision. Sometimes mashirika yanaweza kupata hasara lakini kukawa na faida kijamii na kukuza uchumi kupitia utalii. Mimi naona sio lazima kila kitu kipate faida ndio kiendelee. Wanyonyaji watapenda ATCL ice ili precision na fast jet warundi. Hii ni dhambi kubwa itawatafuna uongozi wa awamu ya sita wakiruhusu. Nyerere na Magufuli hawawezi kids miongoni mwa watanzania kwa sababu walikuwa na kujali mahitaji yetu. Mama Samia akipenda cheap popularity akapunguza kodi, akaruhusu wawekezaji uchwara na ajira za wageni bila udhibiti atakuwa na kazi ngumu bungeni. Maana wachimbaji wadogo wa masomo wanna faida kwa uchumi wa nchi kuliko wawekezaji wajubwa wanaotodosha dhahabu yetu kwa HARAKA na kutupa kazi za vibarua na kutuachia mashimo. Juzi aliposema kodi ikipungua MAKUSANYO kisogo sio hasara ilikuwa ni tamko la ovyo. Atahitajika awe dictator mkubwa kuturudisha kwenye dhahabu zetu awake kirahisi tubaki na mashimo. Lakini naamini yule mama ni democrat atasikiliza maoni ya wabunge.
 
Wakati shirika la ATCL limesimama nauli ya toka kigoma kwenda dar ilikuwa laki saba. Magufuli amefufua ATCL nauli ilishuka hadi laki tati ambayo ni nusu ya nauli ya precision. Sometimes mashirika yanaweza kupata hasara lakini kukawa na faida kijamii na kukuza uchumi kupitia utalii. Mimi naona sio lazima kila kitu kipate faida ndio kiendelee. Wanyonyaji watapenda ATCL ice ili precision na fast jet warudi. Hii ni dhambi kubwa itawatafuna uongozi wa awamu ya sita wakiruhusu. Nyerere na Magufuli hawawezi kusahaulika miongoni mwa watanzania kwa sababu walikuwa na kujali mahitaji yetu. Mama Samia akipenda cheap popularity akapunguza kodi, akaruhusu wawekezaji uchwara na ajira za wageni bila udhibiti atakuwa na kazi ngumu bungeni. Maana wachimbaji wadogo wa madini wana faida kwa uchumi wa nchi kuliko wawekezaji wakubwa wanaotorosha dhahabu yetu kwa HARAKA na kutupa kazi za vibarua na kutuachia mashimo. Juzi aliposema kodi ikipungua MAKUSANYO kidogo sio hasara ilikuwa ni tamko la ovyo. Atahitajika awe dictator mkubwa kuturudisha kwenye dhahabu zetu awape kirahisi tubaki na mashimo. Lakini naamini yule mama ni democrat atasikiliza maoni ya wabunge.
 
Wakati shirika la ATCL limesimama nauli ya toka kigoma kwenda dar ilikuwa laki saba. Magufuli amefufua ATCL nauli ilishuka hadi laki tati ambayo ni nusu ya nauli ya precision. Sometimes mashirika yanaweza kupata hasara lakini kukawa na faida kijamii na kukuza uchumi kupitia utalii. Mimi naona sio lazima kila kitu kipate faida ndio kiendelee. Wanyonyaji watapenda ATCL ice ili precision na fast jet warundi. Hii ni dhambi kubwa itawatafuna uongozi wa awamu ya sita wakiruhusu. Nyerere na Magufuli hawawezi kids miongoni mwa watanzania kwa sababu walikuwa na kujali mahitaji yetu. Mama Samia akipenda cheap popularity akapunguza kodi, akaruhusu wawekezaji uchwara na ajira za wageni bila udhibiti atakuwa na kazi ngumu bungeni. Maana wachimbaji wadogo wa masomo wanna faida kwa uchumi wa nchi kuliko wawekezaji wajubwa wanaotodosha dhahabu yetu kwa HARAKA na kutupa kazi za vibarua na kutuachia mashimo. Juzi aliposema kodi ikipungua MAKUSANYO kisogo sio hasara ilikuwa ni tamko la ovyo. Atahitajika awe dictator mkubwa kuturudisha kwenye dhahabu zetu awake kirahisi tubaki na mashimo. Lakini naamini yule mama ni democrat atasikiliza maoni ya wabunge.
CAG halifahamu hilo la kushuka kwa nauli?

Simple ideas.Like Ndungai.
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Kwa mauaji, wizi etc etc
 
Back
Top Bottom