Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Alipo waondoa watu wazuri wa kumshauri akawaingiza washirikina na wachawi kumshauri ulikuwa unategemea nini,Nakuonea haya ujue basi tu.
 
Kupata hasara sio jambo la kujisifia. Kupata hasara sio mashindano.

Kama mke wa jirani yako kaliwa juzi naww mkeo akiliwa leo na mchepuko utaleta uzi wa kumsifia hapa?

Acheni mambo ya kijinga, umaskini sio sifa.
Wewe mbayaaaa!! (In Joti’s voice!)
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Acha ujinga ww. Si upost jambo la maana la kukusaidia kimaisha. Mpuuzi ww
 
Inasikitisha sana kwakweli.Magufuli alikuwa na msimamo na nia thabit ya kuinua uchumi wa nchi.Ila kwa sasa naona kama tumepoteza mwelekeo.Rais anasimama anasema waziwazi tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji! Anaruhusu wawekezaji waje na watu wao bila kujali ajira za wazawa.Hana msimamo mambo ambayo alitakiwa azungumzie ofisini anaweka hadharani au alijua JPM alikuwa mjinga kutokusema hadharani baadhi ya mambo? Huko ni kutengeneza panic na porojo ambazo zitamuondolea focus ya maendeleo na hazitamuongezea chochote!
Si mnadai mmejenga viwanda kajaajiriwe huko,.
Acha mtu amlete anayemtaka,kwanza nyie niwezi mkiwekwa pale si utaiba alivoiba kigwangala!
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Tatizo la nchi hii kila mtu ni strategist. Upuuzi mtupu. Wanakosoa hata jambo la msingi. Ndege ni muhimu kwa. Uchumi wa Taifa.
Magufuli mipango yote yake ililenga kwenye uchumi imara. Isipozingatiwa tutaendelea kuwa ombaomba na miaka yote.
Kuna mambo mengi hata kama hayana faida huwa ni wezeshi kwa ajili ya shughuli zenye faida. Mfano tuchukulie ndege hata kama zisipokuwa na faida zinaweza kuleta watali wengi lakini pia kurahisiha biashara. Levies zitokanazo na utalii pamoja kodi za biashara zinaweza kufidia hasara ya ndege.
Hali kadhalila hata reli inaweza isiwe na faida lakini fahamu reli hii inaweza sababisha kushawishi Rwanda, Burundi na Uganda kupitishia mizigo yao yote Dar. Na nchi ikavuna pesa nyingi sana.
Vijana wa leo kazi kupokea upotoshaji tu na kuanza kushangilia.
 
Hasara sio garantee ya kufunga biashara...halafu kuwa na shirika la ndege ni kama kutoa huduma.

Mashirika ya ndege yanaendeshwa kwa hasara kipindi kama hiki cha covid...shirika letu hata kama litaendeshwa kwa hasara faida ipo kwenye utalii.


Wakenya wametumia shirika lao kuutangazia ukimwengu kuwa Kilimanjaro ni mlima wao. Na wamepata mapato mengi sana kupitia kubeba watalii kuleta nchini mwao.
Kanye huko
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Ni ngumu sana kuuwa legacy ya Magufuli na uzuri jamaa alikuwa anasema hadharani watanzania wanajua.


Ndiyo maana mpinga legacy ya Magufuli hatajibiwa na Magufuli wala watoto wa Magufuli mbali atajibiwa na watanzania.


Kama Ndugai anasema Magufuli alishauriwa vibaya itabidi atueleze huo mkataba unasemaje tofauti na aliyosema Magufuli.

Watakaohoji haya ni watanzania.


Ni kama waliojaribu kuuwa legacy ya Nyerere huwa wanatapa upinzani mkali hadi leo wakati Nyerere alishafariki zaidi ya miaka 20 iliyopita.
Watu huwa wanarejea hotuba tu.

Maneno huiishi
 
Tatizo la nchi hii kila mtu ni strategist. Upuuzi mtupu. Wanakosoa hata jambo la msingi. Ndege ni muhimu kwa. Uchumi wa Taifa.
Magufuli mipango yote yake ililenga kwenye uchumi imara. Isipozingatiwa tutaendelea kuwa ombaomba na miaka yote.
Kuna mambo mengi hata kama hayana faida huwa ni wezeshi kwa ajili ya shughuli zenye faida. Mfano tuchukulie ndege hata kama zisipokuwa na faida zinaweza kuleta watali wengi lakini pia kurahisiha biashara. Levies zitokanazo na utalii pamoja kodi za biashara zinaweza kufidia hasara ya ndege.
Hali kadhalila hata reli inaweza isiwe na faida lakini fahamu reli hii inaweza sababisha kushawishi Rwanda, Burundi na Uganda kupitishia mizigo yao yote Dar. Na nchi ikavuna pesa nyingi sana.
Vijana wa leo kazi kupokea upotoshaji tu na kuanza kushangilia.
Wezi wote nyie
 
Kukumbuka lazima akumbukwe anayohistori katika nchi hii iwe mema au mabaya,je mtoa mada utakumbukwa kwa lipi?Jibu unalo mwenyewe hata mimi langu ninalo.
 
M
Ni ngumu sana kuuwa legacy ya Magufuli na uzuri jamaa alikuwa anasema hadharani watanzania wanajua.


Ndiyo maana mpinga legacy ya Magufuli hatajibiwa na Magufuli wala watoto wa Magufuli mbali atajibiwa na watanzania.


Kama Ndugai anasema Magufuli alishauriwa vibaya itabidi atueleze huo mkataba unasemaje tofauti na aliyosema Magufuli.

Watakaohoji haya ni watanzania.


Ni kama waliojaribu kuuwa legacy ya Nyerere huwa wanatapa upinzani mkali hadi leo wakati Nyerere alishafariki zaidi ya miaka 20 iliyopita.
Watu huwa wanarejea hotuba tu.

Maneno huiish

Ni ngumu sana kuuwa legacy ya Magufuli na uzuri jamaa alikuwa anasema hadharani watanzania wanajua.


Ndiyo maana mpinga legacy ya Magufuli hatajibiwa na Magufuli wala watoto wa Magufuli mbali atajibiwa na watanzania.


Kama Ndugai anasema Magufuli alishauriwa vibaya itabidi atueleze huo mkataba unasemaje tofauti na aliyosema Magufuli.

Watakaohoji haya ni watanzania.


Ni kama waliojaribu kuuwa legacy ya Nyerere huwa wanatapa upinzani mkali hadi leo wakati Nyerere alishafariki zaidi ya miaka 20 iliyopita.
Watu huwa wanarejea hotuba tu.

Maneno huiishi
Mimi ni mtanzania na sitohoji
 
Wakati shirika la ATCL limesimama nauli ya toka kigoma kwenda dar ilikuwa laki saba. Magufuli amefufua ATCL nauli ilishuka hadi laki tati ambayo ni nusu ya nauli ya precision. Sometimes mashirika yanaweza kupata hasara lakini kukawa na faida kijamii na kukuza uchumi kupitia utalii. Mimi naona sio lazima kila kitu kipate faida ndio kiendelee. Wanyonyaji watapenda ATCL ice ili precision na fast jet warundi. Hii ni dhambi kubwa itawatafuna uongozi wa awamu ya sita wakiruhusu. Nyerere na Magufuli hawawezi kids miongoni mwa watanzania kwa sababu walikuwa na kujali mahitaji yetu. Mama Samia akipenda cheap popularity akapunguza kodi, akaruhusu wawekezaji uchwara na ajira za wageni bila udhibiti atakuwa na kazi ngumu bungeni. Maana wachimbaji wadogo wa masomo wanna faida kwa uchumi wa nchi kuliko wawekezaji wajubwa wanaotodosha dhahabu yetu kwa HARAKA na kutupa kazi za vibarua na kutuachia mashimo. Juzi aliposema kodi ikipungua MAKUSANYO kisogo sio hasara ilikuwa ni tamko la ovyo. Atahitajika awe dictator mkubwa kuturudisha kwenye dhahabu zetu awake kirahisi tubaki na mashimo. Lakini naamini yule mama ni democrat atasikiliza maoni ya wabunge.
Acha upumbavu na mahaba ya kijinga kwa huyo magufuli , swala la hasara magufuli alikuwa analijua lakini hakutaka lisemwe kwa sababu ya aibu ya ubisho wake maana alikuwa mbishi kweli kweli haambiliki , lakini hasara alikuwa anaiona vuzuri tu wala usidhani alikuwa halijui hili , kitendo cha kufunga watu midomo haya ndiyo matokeo yake maana asinge funga watu midogo haya wala yasinge kuwa mapya ka ilivyo kuwa enzi za kikwete

Mambo mengi sana maovu yamefanyika chini ya magufuli lakini wtu walifungwa midomo sasa mwache ale matunda ya kazi yake
 
Wewe unaona kupata hasara ndiyo ujanja?

Unaelewa Marekani ndiyo nchi iliyoanzisha usafiri wa ndege, na leo hii haina shirika la ndege la taifa.

Unafikiri hao Wamarekani ni wajinga?

Wakati shirika la ATCL limesimama nauli ya toka kigoma kwenda dar ilikuwa laki saba. Magufuli amefufua ATCL nauli ilishuka hadi laki tati ambayo ni nusu ya nauli ya precision. Sometimes mashirika yanaweza kupata hasara lakini kukawa na faida kijamii na kukuza uchumi kupitia utalii. Mimi naona sio lazima kila kitu kipate faida ndio kiendelee. Wanyonyaji watapenda ATCL ice ili precision na fast jet warundi. Hii ni dhambi kubwa itawatafuna uongozi wa awamu ya sita wakiruhusu. Nyerere na Magufuli hawawezi kids miongoni mwa watanzania kwa sababu walikuwa na kujali mahitaji yetu. Mama Samia akipenda cheap popularity akapunguza kodi, akaruhusu wawekezaji uchwara na ajira za wageni bila udhibiti atakuwa na kazi ngumu bungeni. Maana wachimbaji wadogo wa masomo wanna faida kwa uchumi wa nchi kuliko wawekezaji wajubwa wanaotodosha dhahabu yetu kwa HARAKA na kutupa kazi za vibarua na kutuachia mashimo. Juzi aliposema kodi ikipungua MAKUSANYO kisogo sio hasara ilikuwa ni tamko la ovyo. Atahitajika awe dictator mkubwa kuturudisha kwenye dhahabu zetu awake kirahisi tubaki na mashimo. Lakini naamini yule mama ni democrat atasikiliza maoni ya wabunge.
Kipindi Cha jk precision air ilikuwa 320,000 tu kwenda kgm acha kudanganya watu. Halafu mashirika ya ndege yakiwa mengi inalet ushindani hence efficiency. Serikali iliendesha shirika la ndege ni hasara tua. Bora atcl ife tu
 
Inasikitisha sana kwakweli.Magufuli alikuwa na msimamo na nia thabit ya kuinua uchumi wa nchi.Ila kwa sasa naona kama tumepoteza mwelekeo.Rais anasimama anasema waziwazi tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji! Anaruhusu wawekezaji waje na watu wao bila kujali ajira za wazawa.Hana msimamo mambo ambayo alitakiwa azungumzie ofisini anaweka hadharani au alijua JPM alikuwa mjinga kutokusema hadharani baadhi ya mambo? Huko ni kutengeneza panic na porojo ambazo zitamuondolea focus ya maendeleo na hazitamuongezea chochote!
Ajira za wazawa mwendazake aliwaajiri wangapi wanyonge?
 
Hiyo huduma fast jest, precision na wengine wameshindwa kuitoa wewe Kilaza??
Pesa zenu za kodi zinaharibwa halafu wewe muuza utumbo wa mbuzi huko Buza unashangilia. Una akili wewe?
Hasara sio garantee ya kufunga biashara...halafu kuwa na shirika la ndege ni kama kutoa huduma.

Mashirika ya ndege yanaendeshwa kwa hasara kipindi kama hiki cha covid...shirika letu hata kama litaendeshwa kwa hasara faida ipo kwenye utalii.


Wakenya wametumia shirika lao kuutangazia ukimwengu kuwa Kilimanjaro ni mlima wao. Na wamepata mapato mengi sana kupitia kubeba watalii kuleta nchini mwao.
 
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.

Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.

Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.

Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.

Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Na aliomba tumkumbuke kwa yale MAZURI.
Hata hivyo ni kawaida ya binadamu kumumbuka.
 
Back
Top Bottom