Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Wewe dikteta uchuro

Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa

Hakujenga alibomoa

Hakuunganisha alivunja

Hakurekebisha aliharibu

Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe

Kwa lipi labda??

Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu

Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi

Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame

Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi

Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili..
upo sawa hii.nchi ilikuwa inaenda kuchafuka kama rwanda nchi ikipata rais mjinga ni rahisi sana kuingia kwenye machafuko
 
Mwanaume kaondoka mabinti wanapigana na kivuli kwa nguvu zote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilisema humu: wakitaka marehemu asisemwe vibaya,wawe wa kwanza kuacha kumpamba maana kunaamsha hasira na machungu ya watu.

Kwa kifupi, chini ya utawala wa Magufuli, watu wametendewa uovu na ukatili mkubwa, hivyo ni bora wapambe wake wamuombee msamaha na si kumpamba na kutaka kufanya watu wajinga.
 
Kuna uwezekano wewe ni yatima hujui hata kizazi chako ndio maana inabidi ushobokee ukoo wa watu wengine ili ujifariji.
Tuwe makini jamani.

Mtu Mtanzania mwanamme anayesema anaweza kubadili jina la ukoo wake ili apate urahisi wa maisha anaweza kuolewa tu na hao kina Magufuli akafanywa mke wao na kubadilishwa jina kirahisi tu kama mke wao. Kama wataridhia.

Haya maneno mengine mwanamme kusema ni uhanithi tu.

Tumezoea mwanamke anayeshoboka na hashuo za mahaba ndiye mtu anayeweza kusema anataka kubadili jina la ukoo kwa kuolewa na mwanamme.

Sasa kuna wanaume wanataka kujibadili nao wawe wanawake?
 
Hata wewe ulidanganywa na viongozi wako kwa miaka mitano Lowasa fisadi,kwa vinywa vyao wakadai ushahidi wanao,2015 ndani ya masaa 24 mkasafisha jina mkaliondoa ktk list ya mafiasadi papa na akawa mgombea wenu.Ndio uzuri wa siasa ukiwa msahaulifu lazima upelekeshwe.

Mimi namuogopa sana mtu asiyekuwa na misimamo na anayepingana na alicho kiongea kwa kinywa chake,kwani kuna siku anaweza AKANA HATA JINSIA YAKE au akaligeuka taifa lake.

Ila yote kwa yote ndio demokrasia,unaloliona wewe baya,wenzako wanaliona zuri ila mimi Magu ni rais bora kwangu baada ya Nyerere itabaki kuwa hivyo labda atokee mwengine huko mbele.
mzee mimi niko timamu. Baki kwenye mada ya Magufuli. Nikisema hafai namlinganisha na vigezo vya kufaa sio Lowasa kwa sababu Lowasa sio kigezo. Huna cha kunidanganya kuhusu jiwe,ninaona vingi acha na hizi propaganda za majukwaani
 
Wewe dikteta uchuro

Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa

Hakujenga alibomoa

Hakuunganisha alivunja

Hakurekebisha aliharibu

Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe

Kwa lipi labda??

Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu

Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi

Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame

Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi

Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili..

Achana nalo hilo limeishateketea motoni
 
Kimeumana huu uzi upandishwe kila mwenye nyongo atapike ili wanaodhani Magufuli alikuwa mtakatifu asisemwe wajitafakari
 
Hizi propaganda za ukabila anazipigia debe Mbowe ambae chama chake ni cha kichaga.

Hakuna ushahidi wa ukabila wa Magufuli, hakuna. Wachaga wa Mbowe wameshadadia ukabila kuficha ukabila wa Chadema.

Viongozi wote wa Chadema kuanzia mwenyekiti, katibu mkuu, wakurugenzi wa makao makuu wote kabila moja, ni wachaga.

Ukiuliza ukabila wa Magufuli uko wapi huupati, mmekomaa tu mkabila, mkabila.

Chadema tafuteni kazi nyingine, uongozi nchi hii hamuupati tena.

Kanda ya Ziwa sasa ndio tunaamua rais wa nchi hii. Na tutaendelea kuamua urais wa nchi hii hadi mwisho wa Dunia.
 
mzee mimi niko timamu. Baki kwenye mada ya Magufuli. Nikisema hafai namlinganisha na vigezo vya kufaa sio Lowasa kwa sababu Lowasa sio kigezo. Huna cha kunidanganya kuhusu jiwe,ninaona vingi acha na hizi propaganda za majukwaani
Huko timamu ila msimamo wako humu JF unafahamika,we endelea kuwa msahaulifu upelekeshwe ndio chaguo lako sikukatazi ni haki yako kidemokrsia.

Ila mimi na muogopa mtu mwenye ndimi mbili,Magu kwangu mtu mtu mwenye misimamo ,mtekelezaji ,mfuatiliaji na mchapakaji,tokea akiwa waziri mpaka Rais.

Manake yule aliyepita walilalamika "....Rais dhaifu........anendesha nchi kwa auto-pilot......Vasco Dagama.......",ila Magu kwangu ni bora kwa mtizamo wangu.
 
Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa


Hakujenga alibomoa


Hakuunganisha alivunja


Hakurekebisha aliharibu


Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe


Kwa lipi labda??


Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu


Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi


Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame


Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi


Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili
 
Punguza hasira mkuu. Hao jamaa wenye veti feki na mafisaidi walinyooshwa sana
Kanikera sana, hivi wanamjua dikteta hawa mashoga?
Mpk yupo anaandika hapa dikteta kamuacha tu, fala sana.
Magu ana makosa yake lakini hata siku moja kumuita dikteta binadamu hatuna shukrani.
 
Wewe dikteta uchuro

Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa

Hakujenga alibomoa

Hakuunganisha alivunja

Hakurekebisha aliharibu

Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe

Kwa lipi labda??

Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu

Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi

Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame

Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi

Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili..
Kimsboy wewe Una matatizo ya udini ndio yanayokusumbua
 
Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa


Hakujenga alibomoa


Hakuunganisha alivunja


Hakurekebisha aliharibu


Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe


Kwa lipi labda??


Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu


Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi


Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame


Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi


Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili
Prof Assad amesema alikuwa hajui analoliitaji na yaani kana kwamba alikuwa haelewi anataka nn?
 
Mtahangaika sana na Magufuli lakini mama kasema anaendeleza ya Magufuli.

Kampeni za ukabila wachaga mmezishikia bango sana mnasahau chama chenu ni cha kikabila na hakitakaa kuja kupata uongozi nchi hii.

Na kwa taarifa yenu kanda ya ziwa ndio tuta determine urais wa nchi hii siku zote.

Wachaga mmekomaa Magufuli alikua mkabila lakini hamleti ushahisi wa ukabila wake.

Kimei alipewa CRDB kila mtu anajua nini kinaendelea crdb, 80% ya watumishi ni wachaga.

Kuna kipindi wachaga walikua bank kuu na TRA, walitaka kujibinafsishia hizo taasisi.

Ukabila inajulikana nchi hii ni kabila gani wana ukabila. Sasa kuficha ukabila wenu mmeamua kumshambulia Magufuli na hoja ya ukabila kujaribu kuficha aibu ya ukabila wenu.
 
Back
Top Bottom