mushora
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 376
- 909
Kasome kama ulikuwa na cheti fekiNjoo Kapongo Villa tunywe bia mkuu,
Maana jizi lililokuwa likitusumbua halipo tena, tunywe tusherehekee na utawala wa mama yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome kama ulikuwa na cheti fekiNjoo Kapongo Villa tunywe bia mkuu,
Maana jizi lililokuwa likitusumbua halipo tena, tunywe tusherehekee na utawala wa mama yetu
upo sawa hii.nchi ilikuwa inaenda kuchafuka kama rwanda nchi ikipata rais mjinga ni rahisi sana kuingia kwenye machafukoWewe dikteta uchuro
Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa
Hakujenga alibomoa
Hakuunganisha alivunja
Hakurekebisha aliharibu
Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe
Kwa lipi labda??
Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu
Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi
Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame
Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi
Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili..
Nilisema humu: wakitaka marehemu asisemwe vibaya,wawe wa kwanza kuacha kumpamba maana kunaamsha hasira na machungu ya watu.
Kwa kifupi, chini ya utawala wa Magufuli, watu wametendewa uovu na ukatili mkubwa, hivyo ni bora wapambe wake wamuombee msamaha na si kumpamba na kutaka kufanya watu wajinga.
Tuwe makini jamani.Kuna uwezekano wewe ni yatima hujui hata kizazi chako ndio maana inabidi ushobokee ukoo wa watu wengine ili ujifariji.
Akufweeeeeee Mara ya pili
mzee mimi niko timamu. Baki kwenye mada ya Magufuli. Nikisema hafai namlinganisha na vigezo vya kufaa sio Lowasa kwa sababu Lowasa sio kigezo. Huna cha kunidanganya kuhusu jiwe,ninaona vingi acha na hizi propaganda za majukwaaniHata wewe ulidanganywa na viongozi wako kwa miaka mitano Lowasa fisadi,kwa vinywa vyao wakadai ushahidi wanao,2015 ndani ya masaa 24 mkasafisha jina mkaliondoa ktk list ya mafiasadi papa na akawa mgombea wenu.Ndio uzuri wa siasa ukiwa msahaulifu lazima upelekeshwe.
Mimi namuogopa sana mtu asiyekuwa na misimamo na anayepingana na alicho kiongea kwa kinywa chake,kwani kuna siku anaweza AKANA HATA JINSIA YAKE au akaligeuka taifa lake.
Ila yote kwa yote ndio demokrasia,unaloliona wewe baya,wenzako wanaliona zuri ila mimi Magu ni rais bora kwangu baada ya Nyerere itabaki kuwa hivyo labda atokee mwengine huko mbele.
Wewe dikteta uchuro
Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa
Hakujenga alibomoa
Hakuunganisha alivunja
Hakurekebisha aliharibu
Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe
Kwa lipi labda??
Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu
Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi
Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame
Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi
Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili..
Yeye mwenyewe huko alipo ananyooshwa na shetani, kila siku anachezea ukuni
Huko timamu ila msimamo wako humu JF unafahamika,we endelea kuwa msahaulifu upelekeshwe ndio chaguo lako sikukatazi ni haki yako kidemokrsia.mzee mimi niko timamu. Baki kwenye mada ya Magufuli. Nikisema hafai namlinganisha na vigezo vya kufaa sio Lowasa kwa sababu Lowasa sio kigezo. Huna cha kunidanganya kuhusu jiwe,ninaona vingi acha na hizi propaganda za majukwaani
Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa
Hakujenga alibomoa
Hakuunganisha alivunja
Hakurekebisha aliharibu
Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe
Kwa lipi labda??
Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu
Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi
Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame
Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi
Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili
Mipambe yalisu hamuishiwagwi kujambaAiseeh!!
Kanikera sana, hivi wanamjua dikteta hawa mashoga?Punguza hasira mkuu. Hao jamaa wenye veti feki na mafisaidi walinyooshwa sana
Kimsboy wewe Una matatizo ya udini ndio yanayokusumbuaWewe dikteta uchuro
Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa
Hakujenga alibomoa
Hakuunganisha alivunja
Hakurekebisha aliharibu
Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe
Kwa lipi labda??
Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu
Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi
Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame
Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi
Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili..
Prof Assad amesema alikuwa hajui analoliitaji na yaani kana kwamba alikuwa haelewi anataka nn?Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa
Hakujenga alibomoa
Hakuunganisha alivunja
Hakurekebisha aliharibu
Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe
Kwa lipi labda??
Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu
Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi
Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame
Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi
Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili
🤣🤣🤣alikua mbabaifu
Mama kasema asitofutishwe na magufuli,wao ni wamojaWatu wengi ambao bado wanamjadili magufuli ni wakosa ajenda, tusonge mbele na mama tuone itakuaje
Mkuu unamaana yale maombi tuliyoyaomba 2017/18/19 ndio Mungu baba wa mbinguni amejibu au mimi sijakuelewa?Watu badala ya kushukuru Mungu amewafanyia wepesi,wanalaumu