Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Best of the worst.Kila mtu na mtizamo wake,ndio uzuri wa demokrasia,ila Magu for me ni best president baada ya Nyerere so sio lazima wote mfanane.
Ndiyo maana Mungu alitusikia kilio chetu.Angalia lipumbavu la vyeti feki hili,fisadi kubwa.
Hakuna anayemchukia HAYATI JPM isipokua washenzi
1. Fisadi
2. Vyeti feki
3. Waliokosa teuzi kwa madhaifu yao au kwa kufuata usawa wa JPM kumteua kila anayeweza maadamu ni raia wa nchi
4. Mishahara hewa
Mna hasira utadhani mlikua sawa
rightAngalia lipumbavu la vyeti feki hili,fisadi kubwa.
Hakuna anayemchukia HAYATI JPM isipokua washenzi
1. Fisadi
2. Vyeti feki
3. Waliokosa teuzi kwa madhaifu yao au kwa kufuata usawa wa JPM kumteua kila anayeweza maadamu ni raia wa nchi
4. Mishahara hewa
Mna hasira utadhani mlikua sawa
Kila mtu na mtizamo wake,ndio uzuri wa demokrasia,ila Magu for me ni best president baada ya Nyerere so sio lazima wote mfanane.
mzee mimi niko timamu. Baki kwenye mada ya Magufuli. Nikisema hafai namlinganisha na vigezo vya kufaa sio Lowasa kwa sababu Lowasa sio kigezo. Huna cha kunidanganya kuhusu jiwe,ninaona vingi acha na hizi propaganda za majukwaani
Wapo aliowasaidia.
Mwendasake alikuwa na msimamo upi?Hata wewe ulidanganywa na viongozi wako kwa miaka mitano Lowasa fisadi,kwa vinywa vyao wakadai ushahidi wanao,2015 ndani ya masaa 24 mkasafisha jina mkaliondoa ktk list ya mafiasadi papa na akawa mgombea wenu.Ndio uzuri wa siasa ukiwa msahaulifu lazima upelekeshwe.
Mimi namuogopa sana mtu asiyekuwa na misimamo na anayepingana na alicho kiongea kwa kinywa chake,kwani kuna siku anaweza AKANA HATA JINSIA YAKE au akaligeuka taifa lake.
Ila yote kwa yote ndio demokrasia,unaloliona wewe baya,wenzako wanaliona zuri ila mimi Magu ni rais bora kwangu baada ya Nyerere itabaki kuwa hivyo labda atokee mwengine huko mbele.
Hivi ni kweli kabisa alitamka haya? Binafsi sikumsikia live. Kama ndivyo, alikuwa mbaguzi, mbaya kabisa. Anastahili kuteseka jehanamu.Kimara :Wavunjiwe hakuna fidia hata senti tano
Mwanza : Nimezuia wasivunjiwe kwa sababu ni wapiga kura wangu
MISHAHARAMwendasake alikuwa na msimamo upi?
Dakika hii anahubiri Maendereo hayana chama, dakika chache baadaye anatangaza ataua vyama vyote vya siasa kwa njia haramu na wengine anawamiminia marisasi kwa gharama ya Kodi za wananchi!!!!
Huko timamu ila msimamo wako humu JF unafahamika,we endelea kuwa msahaulifu upelekeshwe ndio chaguo lako sikukatazi ni haki yako kidemokrsia.
Ila mimi na muogopa mtu mwenye ndimi mbili,Magu kwangu mtu mtu mwenye misimamo ,mtekelezaji ,mfuatiliaji na mchapakaji,tokea akiwa waziri mpaka Rais.
Manake yule aliyepita walilalamika "....Rais dhaifu........anendesha nchi kwa auto-pilot......Vasco Dagama.......",ila Magu kwangu ni bora kwa mtizamo wangu.
NEC yenyewe ipi hiyo?Look at the numbers from NEC.
Ndo mana amekuwa Rais wa kwanza kufia madarakani. Mungu fundi sana. Magufuli alikuwa mshenzi tu full stop.Sisi kwetu wamepita marais wengi lakini.amna alietuwekea.lami kaja jpm katuchapia lami hii kauli nazani uongeage ukiwa jimboni kwenu kwetu unaweza kuuliwa ata kwa kulogwa.
Labda kama wewe ni wa kanda ile, na una nyumba pale Mwanza alipoamuru zisibomolewe sawa. Lakini ungekuwa na nyumba pale Kimara ukabomolewa bila fidia, hungeweze kucomment hivi.Watu badala ya kushukuru Mungu amewafanyia wepesi,wanalaumu
Huo ni mtizamo wako na ni haki yako, ila kwangu mimi jamaa alikuwa mchapakazi,mfuatiliaji na mwenye msimamo.Lowasa hakuwa mbaya kama dikteta jpm, uyu alibakisha tu kuanza kula nyama za watu, aliwatia watu vilema, kama haikutosha akawaua sasa kingefuatia kuwala
Yaah kwa mtizamo wako na ndio demokrasia yenyewe,mimi ninachojua Magu ni mchapakazi,mwenye misimamo na mfuatiliaji.Muuaji, katili, mbaguzi, mbinnafsi, mjaa chuki, kiburi na visasi
Yaah huo wako ila mwamba alikuwa unique upande wa misimamo yake,wewe huona sikulaumu ila mimi nimeona kwenye madini,Corona,sekta ya ujenzi,Afya ndio uzuri wa demokrasia kila mmoja abaki na anacho kiamini na kuendelea KUKUBALI KUTO KUKUBALIANA.Mwendasake alikuwa na msimamo upi?
Dakika hii anahubiri Maendereo hayana chama, dakika chache baadaye anatangaza ataua vyama vyote vya siasa kwa njia haramu na wengine anawamiminia marisasi kwa gharama ya Kodi za wananchi!!!!
Magufuli haja bahatika bali umahiri wake wa uchapakazi,uwajibikaji,ufuatiliaji kipindi alipokuwa waziri ndipi kimempa nafasi ya kuwa Waziri.Mimi sipo hapa kukufanya uamini,mimi nipi hapa kuongelea mazuri ya Magu na ndio maana kwangu ataendelea kuwa bora.Muuaji katu hawezi kuwa Bora hata Kama angeijaza nchi yote maziwa na asali, kamwe daraja haliwezi kuwa ndo gharama ya Maisha ya watu, Uhuru wa watu na demokrasia ya watu. Huyu alikuwa mtu katili aliyebahatika kupewa nafasi asiostahili.