Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Nashangaa sana kusikia wafuasi na wapinzani wa Ccm kushadidia upuuzi usio na maana kuwa Legacy ambayo watu wanatakiwa kuachwa nayo ni kujenga miundo mbinu, shule na huduma za afya.
Ni kweli ili kiongozi makini ukubalike lazima taifa lako liwe na miundo mbinu mizuri, huduma za afya na elimu nzuri.
Lakini je mbona mnasahau kuwa lazima kiongozi atengeneze hali na utashi wa raia kupinga ufisadi na rushwa?
JPM aliweza kujenga hiyo hali ndani ya mioyo ya watanzania. Ni Legacy kuu aliyoiacha hapa Tanzania.
Ni kweli ili kiongozi makini ukubalike lazima taifa lako liwe na miundo mbinu mizuri, huduma za afya na elimu nzuri.
Lakini je mbona mnasahau kuwa lazima kiongozi atengeneze hali na utashi wa raia kupinga ufisadi na rushwa?
JPM aliweza kujenga hiyo hali ndani ya mioyo ya watanzania. Ni Legacy kuu aliyoiacha hapa Tanzania.