Soma uzi wangu vizuri, usitumie hisia tumia akili utanielewa.kwamba kipindi chake umeme ulikuwa haukatiki?
umesahau mpaka nyuzi za malalamiko zilivyotamalaki humu Jf?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma uzi wangu vizuri, usitumie hisia tumia akili utanielewa.kwamba kipindi chake umeme ulikuwa haukatiki?
umesahau mpaka nyuzi za malalamiko zilivyotamalaki humu Jf?
kwamba kipindi chake umeme ulikuwa haukatiki?
umesahau mpaka nyuzi za malalamiko zilivyotamalaki humu Jf?
Unaishi wapi mkuu? Mi sijawahi shuhudia umeme ukikatika siku mzima kipindi cha JPM. Na tulipewa taarifa.Hivi kipindi cha Magufuli umeme si kuna kipindi ulikuwa unakatika nchi nzima hadi watu wakaanza kuhisi kuna mgao wa kimya kimya?
Nakumbuka ilikuwa mwezi Februari mwaks huu hadi watu wakaanza kuhoji hiyo reli ya SGR itatengenezwaje
aiseeeUnaishi wapi mkuu? Mi sijawahi shuhudia umeme ukikatika siku mzima kipindi cha JPM. Na tulipewa taarifa.
Kipindi cha jpm umeme haukuwahi katika?Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea...
Kwa nchi kama Tanzania sababu waga haziishi, Unaweza kuambiwa hata maji yameanza kupungu, mara sijui Turbines zinafeli kuzunguka, au upepo ni mkali sana eneo la Rufiji una sababisha maji yanarudi kinyumenyume hivyo mashine hazizunguki....Usihofu vumilia Nyerere Dam inakaribia kukamilika tatizo la kukatika umeme litakuwa historia, na mwingine tutauza kwa majirani!
Sis huwa hatujali tumeona Awamu zote za Maraisi wa Nchi hii kila mmoja alikuja na yake kwahiyo tukianza kuwakumbuka si itakuwa tafraniNdio nimemkumbuka.
Kusoma sio lazima uajiliwe na serikali. Mi mingekuwa na mindset kama zako...sasa hivi ningekuwa nazunguka mtaani na bahasha zangu. Ila Kwa sababu nilijua suala ajira ni shida dunia nzima niliamua kutoka ili nijishughulishe na inshallah baada ya miaka2 nategemea kufungua shule ya watoto. Vipi mkuu, unatafuta kazi?Usimkumbuke kwa kukosa kuajiriwa miaka 2 sasa unapuyanga mtaani umkumbuke kwa tatizo la kiufundi la Tanesco? We wa wapi wewe
Mh. Samia Suluhu HassanKwani raisi wa Tanzania anaitwa nani?
Ukiambiwa ulete uthibitisho utapeleka? Nenda mahakamani mkuu.Kuvuruga uchaguzi mkuu uliopita ilikuwa ni kwa public interest?
Kununua viongozi wa upinzani ilikuwa ni kwa public interest?
Kumtwaga marisasi yote lissu ilikuwa ni kwa public interest?
Kufungia account za watu na kuwapora fedha zao ilikuwa ni kwa public interest?
Acha mambo yako! Hapa npo naishi mtaa wa Bugando, jijini Mwanza Toka mwezi wa 12 mwaka jana mtaa jirani wa Igogo kusini kila siku umeme ikifika saa 1 lazima ukate na urudi saa 5 au 6 usiku na siku zingine asubuhi ya siku inayofata, ila kuanzia mwezi wa 3 mwishoni tatizo halipo saiv naona umeme upo 24hrs labda zitokee inevitable emergencies za kawaida...Unaishi wapi mkuu? Mi sijawahi shuhudia umeme ukikatika siku mzima kipindi cha JPM. Na tulipewa taarifa.