Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kunyonga demekrasia .kutesa wapinzani kunynganya hela za watu kunynganya rambirambi za tetemeko.kutopandisha mishahara kuwafukuza wafanyakazi bila kosa kuwaweka maaskofu ndani kujifanya anampenda mungu kumbe sio.kutudanganya uchumi umekua kumbe sio nk nk nk.
Hata sasa nataka Demokrasia inyongwe zaidi, tuliwahi kuwa na Demokrasia kipindi cha JK, tulichoambulia sasa, wanajua wadai Demokrasia kilitokea nini
 
Basi sio kazi yako ku Quote watu unaowapinga bila uthibitisho wa hoja zako.
It's an open forum, nobody controls whatever anybody chooses to write.
No dictatorship in here.
 
Leo nimemkumbuka Hayati Magufuli, unafikiri angekuwepo hai, leo jambo gani lingekuwa pengine ndio stori ya nchi?

Nabashiri, pengine leo hii angekuwa zake anakagua mradi wa reli ya kisasa akitoa na maagizo kwa kandarasi
 
Nafikiri watu wa sekritalieti wangekua hawana kazi siku kama ya leo
 
Leo nimemkumbuka Hayati Magufuli, unafikiri angekuwepo hai, leo jambo gani lingekuwa pengine ndio stori ya nchi?

Nabashiri, pengine leo hii angekuwa zake anakagua mradi wa reli ya kisasa akitoa na maagizo kwa kandarasi
Wizi wa matrillion hazina
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mbowe bado angekuwa uhamishoni

Sabaya na wenzake kina Chawamila, porepore na bashiru bado wangekuwa ofisini au pengine kupandishwa cheo kabisa

Tanzania ingekuwa salama zaidi kuhusu Corona

Gwajima wa kike angekuwa ameshakunywa lita kadhaa za mchanganyiko wa tangawizi, limao, saumu, kitunguu maji na pilipili

Ng'ombe wote wa chato wangekuwa wameshafungwa site mirror kwaajili ya kuwaongoza kwenye barabara za chato

Gas ya kupikia ingekuwa bei nafuu kuliko sasa

Miamala ingekuwa vilevile kama awali, huku vifurushi vingekuwa vimepanda bei

Sheria ndogondogo zingekuwa zimeshatungwa kwaajili ya kuibana mitandao zaidi 😬

Jokate na Samia wangekuwa hawajadungwa chanjo ya majaribio

Bado tungekuwa hatujasikia sauti ya mstaafu Kikwete labda tungeona Picha zake akilima mananasi kule mkoani Pwani

Tungekuwa hatupati changamoto ya kukatika umeme mara kwa mara

Kuna watu wangekuwa wameshauawa kwa kuwa kinyume na matakwa yake

Tungekuwa tumeshapata misamiati mipya kutoka kwake 🤣🤣🤣

Na kubwa zaidi Tanzania ingekuwa inatrend duniani kwa kujitenga kabisa na propaganda za korona huku tukipiga kazi wakati huohuo tukiwa tumeongeza imani kwa jiwe kutokana na misimamo yake isiyoyumba kuhusu mabeberu 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom