Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Tungekuwa tumeshapata misamiati mipya kutoka kwake 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tungekuwa tumeshapata misamiati mipya kutoka kwake 🤣🤣🤣
Na corona hii angekuwa amejificha chini ya chaga huko Chato..Leo nimemkumbuka Hayati Magufuli, unafikiri angekuwepo hai, leo jambo gani lingekuwa pengine ndio stori ya nchi?
Nabashiri, pengine leo hii angekuwa zake anakagua mradi wa reli ya kisasa akitoa na maagizo kwa kandarasi
Ntamkumbuka kwa haya:1 Bwawa la umeme (Lingeitwa kwa jina lake)Mkuu Chahali, kuna aina kuu tatu za kumbukumbu za binadamu katika matendo yake aliyotenda wakati wa uhai wake hapa duniani: 1. Binadamu ambae matendo yake aliyatenda kwa ufanisi na kwa upendo kwa maendeleo yote, huyu atakumbukwa kwa muda mfupi kudogo. 2. Binadamu ambae matendo yake aliyatenda kwa ufasani, upendo na kushikiana na watu katika maendeleo yao bila upendeleo wa aina yeyote, huyu naye atakumbukwa kwa muda wote na wapenda uwazi na maendeleo. 3. Binadamu ambaye matendo yake aliyotenda ni kwa maendeleo ya nchi yake kwa ufasini lakini kwa mateso kwa watu wake, huyu atakumbukwa na watu wote (wa kikazi chake na kizazi tarafajiwa) duniani.
Mfano mzuri ni kwa Rais John Kennedy na Rais Hitler.
Unajua fikra na mawazo ya Mheshimiwa ilikuwa kuifikisha Tanzania pale ambapo mwananchi wa kawaida atakuwa anafurahia maisha ya uswahilini na hana kudhalilishwa wala kubugudhiwa na anaheshimika kwenye taasisi zote,akifufuka si ataitwa msukule! unafkiri nani atalaumiwa
Sema hayati jk Nyerere akifufuka atasema nn!!Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.
Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.
Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Nipeni huyu mama awe Makamu wangu,sio mnaona alivyo mweupe? Ninasema uongo ndugu zangu?Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.
Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.
Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.