Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Kuna siku rais Magufuli alisema ipo siku tutamkumbuka, nimeona baadhi ya vijana wakimkashifu sana ila nawahakikishia siku si nyingi watakapo takiwa kuvunja vibanda vyao kupisha wawekezaji watajikuta wanamlilia waliye mtusi.
By
#Chawa_wa_Mama
By
#Chawa_wa_Mama