Kuna watu ama kwa upofu wa fikra au kwa propaganda tu wamekuwa wakisema wanakumbuka zama za Magufuli kwasabb bei ya vitu ilikuwa chini ukilinganisha na sasa.
Kwangu mimi uhuru ndiyo kila kitu. Huwezi linganisha kukosa Uhuru na shida nyingine yoyote ile.
Hata kama bei itaendelea kupanda mara mia ya ilivyo sasa, kwangu mm JPM atabakia kuwa mtu mbaya sana kuwahi kutokea ktk taifa hili.
Kwangu mimi uhuru ndiyo kila kitu. Huwezi linganisha kukosa Uhuru na shida nyingine yoyote ile.
Hata kama bei itaendelea kupanda mara mia ya ilivyo sasa, kwangu mm JPM atabakia kuwa mtu mbaya sana kuwahi kutokea ktk taifa hili.