Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Sakata la Covid tu

Leo huku [emoji636] jamaa kaja kazini anasema ana Corona anaambiwa endelea tu na kazi maana imekuwa kama kikohoo tu

Ila ilipoanza hali ilikuwa tofauti na ilipita na wengi
Jamaa akawapitisha bila woga
Mengine asamehewe tu
 
Sakata la Covid tu

Leo huku [emoji636] jamaa kaja kazini anasema ana Corona anaambiwa endelea tu na kazi maana imekuwa kama kikohoo tu

Ila ilipoanza hali ilikuwa tofauti na ilipita na wengi
Jamaa akawapitisha bila woga
Mengine asamehewe tu


Ameacha funzo kubwala ujasiri kwenye magumu. Kusimamia unachoamini hata kama kinaweza kukuua.
 
Kuropoka
Ubishi
Propaganda
Kuvunja sheria
Kujenga miundombinu
Kutaka aonekand yeye ndio mwamba
Visirani na visasi
 
1676029013674.jpg
 
"Tulikuwa tumezoea kuwa tajiri anaweza kufanya kitu chochote na asifanywe chochote,mimi kwenye utawala wangu tajiri anaweza fanywa chochote(ikiwamo kitatuliwa malinda)na asifanye chochote
 
"Nimelala hotel moja kule mbugani,naona risti niliyopewa inaonesha chumba ni shilingi million 6 kwa Sikh,naomba TRA na vyombo vingine vya kikodi viende vikapige kambi pale hotelini kuangalia kama kodi inayolipwa inaendana na thamani ya vyumba"
 
"IGP ulishindwaje kuliweka lockup gari la yule drug lord". Hii hakuisema hadharani ila niliidaka
 
"Tulikuwa tumezoea kuwa tajiri anaweza kufanya kitu chochote na asifanywe chochote,mimi kwenye utawala wangu tajiri anaweza fanywa chochote(ikiwamo kitatuliwa malinda)na asifanye chochote
Mkuu hilo la kutatuliwa malinda umeongeza salt
 
Back
Top Bottom