Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Yapo tu kwa anaye amini🤔Haya mambo yapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapo tu kwa anaye amini🤔Haya mambo yapo
Miye sijui ananilinda nani!!?Nulipoanza kujitegemea niliwahi kudate na binti kwao ni washirikina na wachawi ila sikurogwa sababu maombi ya mama yangu mzazi yalizidi tunguli za kwao na yule binti.
Baada tu ya kubreakup na huyo binti akaanza kudate na kijana mmoja ninaemfahamu,yule kijana alijikuta anamhonga binti gari yeyeanapanda daladala,akamhonga laptop,akamlipia kodi,akachukua mkopo akamjengea nyumba wakati yeye hata kiwanja hana.
Nguvu ya mama kwa mtoto wake ni kubwa sana,ukiwa na mama mchawi au mwanamaombi hakuna wa kukugusa.
Mwalimu Nyerere alitegemea ulinzi wa nguvu ya mama yake,baada ya bi Christina Mugaya Burito Nyerere kufariki mwaka 1997 ,mwalimu hakumaliza miaka miwili,mshika mikoba hayupo utaishije.
Hayati Magufuli alikuwa na bond kali na mama yake,yule mama wa watu alipoanza kuugua tu baasi Magufuli hakakosa ulinzi wa kiroho mpaka mauti ,naam mauti.
Usidharau nguvu ya mama
Jiwe alikuwa mshirikinaWakati wa kampeni za ubunge alikuwa anaenda naye Kila mahali
Hakuna kitu kama hicho mwanadamu hawezi kuw mlinzi wa mwenzake Ubongo wako unahitaji Update haraka sana kabla Virus hawajafika mbali
Msimamo wa kiteolojia ni kwamba do as I say, not as I do. Hii ni kwa sababu hata Yesu alijua kuwa sisi siyo perfect. Kama unaamini kuwa kama Magu angetubu kwa Kakobe una maana angeishi milele. Maalim Seif angetubu kwa nani? Mama yake Zitto je, mwanaye angetubu kwa nani? Na Mtikila? What is your message exactly?Askofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?
Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?
Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
View attachment 2564018View attachment 2564019
View attachment 2564015
Utapotea kizembe,kaa vizuri ba guardian angel wakoMiye sijui ananilinda nani!!?
Huwezi kuingia ikulu bila ndumbaJiwe alikuwa mshirikina
KumbeWakati wa kampeni za ubunge alikuwa anaenda naye Kila mahali
Ndumba first classNdumba 🔥🔥
Labda niombe msaada wa Bantu LadyUtapotea kizembe,kaa vizuri ba guardian angel wako
Ye mwenyewe anahitaji msaadaLabda niombe msaada wa Bantu Lady
Tanzania kwa imani za kishirikina tuko ranked very high in Africa. Kama sikosei ni number 1🏃🏃🏃🏃Yaweza kuwa ni ndoto zako au imani ndani ya familia yako, 🤔
Hiyo ni kwa mujibu wa Sheria ni Lazima Rais alindwe tu hata kam akisema Hataki lakini protocol za Ikulu zinamlazimu Alindwe,Mbona sasa Magufuli alikuwa analindwa na walinzi wenye mabunduki kama alingia madarakani kwa kupindua nchi? Au wale walinzi wake walikuwa ni malaika maalum kutoka mbinguni?
HahahahahaHakuna kitu kama hicho mwanadamu hawezi kuw mlinzi wa mwenzake Ubongo wako unahitaji Update haraka sana kabla Virus hawajafika mbali
Duuuuu[emoji3064]Mbona sasa Magufuli alikuwa analindwa na walinzi wenye mabunduki kama alingia madarakani kwa kupindua nchi? Au wale walinzi wake walikuwa ni malaika maalum kutoka mbinguni?
NigeriaTanzania kwa imani za kishirikina tuko ranked very high in Africa. Kama sikosei ni number 1[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]