Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Anasumbua malaika wenzake wa giza huko jehanam
Anasumbua hadi walioko hai, ndo maana ngumu kusahaulika,,,kaacha legacy
images.jpeg-90.jpg
kuna rais marehemu ambae anasumbua walio hai kama huyu??
 
Yule mpuuzi alianzisha somo la historia kwa kiswahili shule za sekondari, alichapisha mpk vitabu vilivyokuwa vimesheheni wasifu wake tu. Alipotwaliwa serikali ya ccm ikavipiga kiberiti.
 
Enzi za Giza, nilitembelea shule za Msingi kadhaa mikoa ya Tabora, Singida, Simiyu na Mwanza. Zote wakati wa ASSEMBLY/mkusanyiko wa asubuhi waliimba nyimbo za kumsifu SHUJAA (wa COVID-19) ila ndio mambo yakaharibika kabla ya 2025.
Dah kwa level hii ya ufikiri deni la taifa litazidi kupanda
 
Enzi za Giza, nilitembelea shule za Msingi kadhaa mikoa ya Tabora, Singida, Simiyu na Mwanza. Zote wakati wa ASSEMBLY/mkusanyiko wa asubuhi waliimba nyimbo za kumsifu SHUJAA (wa COVID-19) ila ndio mambo yakaharibika kabla ya 2025.
Ficha ujinga wako haya yanayoendelea bado tu unaendelea kumzushia JPM?

Msemeni huyo Mngazinja
 
Enzi za Giza, nilitembelea shule za Msingi kadhaa mikoa ya Tabora, Singida, Simiyu na Mwanza. Zote wakati wa ASSEMBLY/mkusanyiko wa asubuhi waliimba nyimbo za kumsifu SHUJAA (wa COVID-19) ila ndio mambo yakaharibika kabla ya 2025.

Video zipo Ila zina watoto (sitaki kuonyesha Sura zao) wakiimba nyimbo husika
Tuwekee wimbo mmoja uliowahi kuusikia. Maana mimi ni mfuasi mtiifu sana wa Mwamba Jiwe lakini sijawahi kusikia wala kuona jambo hilo ingawa ningelifagilia kama lingelikuwepo!
 
Enzi za Giza, nilitembelea shule za Msingi kadhaa mikoa ya Tabora, Singida, Simiyu na Mwanza. Zote wakati wa ASSEMBLY/mkusanyiko wa asubuhi waliimba nyimbo za kumsifu SHUJAA (wa COVID-19) ila ndio mambo yakaharibika kabla ya 2025.

Video zipo Ila zina watoto (sitaki kuonyesha Sura zao) wakiimba nyimbo husika
Boss kuna mtu katekwa, kuteswa, kupigwa risasi na kutupwa kwenye hifadhi ili iwe kitoweo kwa simba na fisi vipi hiyo habari unayo pia.
 
Enzi za Giza, nilitembelea shule za Msingi kadhaa mikoa ya Tabora, Singida, Simiyu na Mwanza. Zote wakati wa ASSEMBLY/mkusanyiko wa asubuhi waliimba nyimbo za kumsifu SHUJAA (wa COVID-19) ila ndio mambo yakaharibika kabla ya 2025.

Video zipo Ila zina watoto (sitaki kuonyesha Sura zao) wakiimba nyimbo husika
Shule za Tanga ilikua Lazima kila siku asubuhi
 
Tuliwahi kuwaambia Watu wa Dunia waje wajifunze CCM Mbinu za kushawishi Watu Ili wakupigie kura nyingi

Hadi sasa CCM ni kinara kwa Kupata Viti vingi vya Wabunge, Madiwani na Kura nyingi za Rais barani Africa

CCM ni Chuo cha Siasa Barani Africa

Sabato Njema 😀
 
Back
Top Bottom