Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Nipo mpaka 2016 na Mwenyezi Mungu akibariki Museveni akisema atagombea tena 2016 nitakuwepo au kama Muhoozi atagombea ndiyo naweza kuwepo mazima huku na hata huko Tanzania nikapasahau kabisa. Na kama Mwenyezi Mungu akibariki zaidi basi naweza pia miaka hiyo hiyo nikawa AU au SADC au EAC upande wa Tafsiri kwa Uratibu maalum wa hapa nilipo. Tunza hii post kwa kumbukumbu na matumizi ya baadae kwani nimekuandikia kwa Kujiamini kwa 100% kama ilivyo desturi yangu.

Nimemaliza.
Kweli Akili ni mali,kwa kujiamini kabisa Utakuwepo mpaka 2016? Juzi uliandika uzi wa baba paroko huko kawe ukasema ulipokua ibadani sasa sijui Uganda kuna kawe au Niaje.

Majigambo mengi kumbukumbu kisoda
 
Kweli Akili ni mali,kwa kujiamini kabisa Utakuwepo mpaka 2016? Juzi uliandika uzi wa baba paroko huko kawe ukasema ulipokua ibadani sasa sijui Uganda kuna kawe au Niaje.

Majigambo mengi kumbukumbu kisoda
Nimekuambia ni typing error na ni 2026 sasa sijui kwanini huelewi. Kwahiyo ukiwa nchi nyingine huwezi kuyaandika ya Kwenu Tanzania?
 
Magu alikuwa vizuri ila aliharibu kutupitishia CCM nchi nzima, na kuwateua machawa kushika nafasi za kiuongozi.!!
Nchi imekuwa ya kichawa chawa tupu.
Nakuelewa kwa kiasi fulani na hata Kukubaliana nawe pia Mkuu.
 
Nipo Mutukula nakula ndizi nyama, Nakuja huko hatua kumi nyingi.
Heshima nyingi kwa mzee wangu Museveni.
 
Kiingereza, Kiganda na Kiswahili. Na tayari sasa Lugha ya Kiswahili inafundishwa kuanzia Shule za Msingi hadi Upili na kama haitoshi Bunge la Uganda mapema mwaka huu lilitangaza rasmi kuwa Lugha ya Kiswahili ndiyo itakuwa inatumika mahala pengi ( hasa Serikalini ) Na kwa miaka mingi Wanajeshi wa Uganda wanazungumza Lugha ya Kiswahili pamoja na wana Usalama wao.

Na kama haitoishi hata Chuo Kikuu cha Makerere kupitia Uratibu wa Balozi wa Tanzania nchini Uganda Meja Jenearali Simuli wameandaa Programu Maalum wa Lugha ya Kiswahili hapo na tayari Wanachuo wengi wa hapo ( hasa Waganda ) wanajifunza na Kuifurahia zaidi.

Kama wakati nasoma Uganda miaka ya 1996 hadi 2001 tayari mwamko wa Lugha ya Kiswahili ilikuwepo kupitia Rais Museveni kuwaomba Waganda wajifunze na Wazungumze ndiyo Kiswahili kisiwe kinajulikana na kuongelewa kipindi cha Awamu ya Hayati Magufuli cha mwaka 2015 hadi 2021 alipotutoka duniani?

Ni Mpumbavu tu pekee na Mshamba ndiyo mpaka sasa hajui kuwa Wananchi wa Uganda wanaongea Lugha ya Kiswahili japo wanaweza wasiongee Kiufasaha kama Watanzania wenyewe ila wanakizungumza na hata wanakisikia vyema tu.

Huwa nasikia raha sana kutoa Ufafanuzi Kuntu kwa Majuha ( Fools ) waliotudanganya wana JamiiForums kuwa miaka ya 70 waliyozaliwa Wao Mkoani Dar es Salaam kulikuwa hakuna Hospitali ya Agha Khan ambayo kwa bahati nzuri ndiyo hata GENTAMYCINE nilizaliwa hapo bali Hospitali pekee zilizokuwepo kwa wakati huo ni yake ya Choka Mbaya ya Ocean na ya Muhimbili.

Ushauri

Siku zingine kabla ya Kuuliza Swali kwa GENTAMYCINE muwe mnajiridhisha zaidi Kitaarifa ili msiendelee kuonekana Fools.

Nimemaliza.
Kuna kitongoji kinaitwa mengo kisenyi hapohapo Kampala mjini kimekaa kama keko hivi ukiingia huko ni luswahili kwenda mbele kama uko mbagala
 
Kuna kitongoji kinaitwa mengo kisenyi hapohapo Kampala mjini kimekaa kama keko hivi ukiingia huko ni luswahili kwenda mbele kama uko mbagala
Sasa nipo hapa Kitongoji cha Kinawataka ( Chinawataka ) Jambula Stage ukiwa Nakawa nasubiria Mdudu ( Pork ) yangu Ikaangwe vyema Niile.
 
Yaan uandike Qute Juzi niliposhiriki Ibada kanisani kwetu kawe nikiguswa sana na ujumbe wa paroko Unquote.

Then uje useme umejiweka sehem ya tukio kunogesha ila hali on the other side unasema Upo Uganda😂😂

Hebu nitajie beer moja ya kopo inayogawiwa kwa maafisa wa Jeshi la Uganda Kila mwisho wa mwezi. Se si unasema Upo Uganda Kitengo Jeshini?😂😂
Bananisha huyo tutusa kwenye kona asichomoke.

Cc: LIKUD
 
Untitled.jpg
Kampala Uganda
 
Magufuli ametufundisha kwamba, mtumishi wa umma, kazi ndiyo humbeba na siyo ukwabwa wa cv zake, jambo lingine ni kwamba, Tanzania haimtegemei mtu mmoja au familia fulani maarufu katika kujiletea maendeleo

Na kwa mbaali sana hata Rais Samia ameanza kuamini hili, ndiyo maana kawatumbua ambao wengi hudhani bila ya wao TANZANIA haiwezi kiendelea
 
Back
Top Bottom