Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Tuliwaonya kuwa laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ni kubwa.

Baada ya miaka 3 mnayo hiyo amani mliyosema mtapata? Hamtekwi tena? Hamshindwi tena kwenye chaguzi? Watu hawakimbii chama chenu tena?

Na laana iwatafune milele nyumbu nyie
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Duh, kwenye wizi wa kura sasa!
 
Shujaa Magufuli alikuwa miongoni mwa Watu wachache waliomshusha Dr Kigwangalla kutoka ndani ya Ndege akiwa hajitambui baada ya kupata ajali Mbugani.

Shujaa Magufuli alikuwa mkali lakini alikuwa na Huruma sana ebu fikiria Rais kwenda kumbeba Kigwangalla akiwa kwenye Machela ni Upendo wa ajabu

Tunasubiri Press ya Chadema alasiri ndio hii 😄
 
Shujaa Magufuli alikuwa miongoni mwa Watu wachache waliomshusha Dr Kigwangalla kutoka ndani ya Ndege akiwa hajitambui baada ya kupata ajali Mbugani

Shujaa Magufuli alikuwa mkali lakini alikuwa na Huruma sana ebu fikiria Rais kwenda kumbeba Kigwangalla akiwa kwenye Machela ni Upendo wa ajabu

Tunasubiri Press ya Chadema alasiri ndio hii 😄
Hasara kubwa hii.
 
Shujaa Magufuli alikuwa miongoni mwa Watu wachache waliomshusha Dr Kigwangalla kutoka ndani ya Ndege akiwa hajitambui baada ya kupata ajali Mbugani

Shujaa Magufuli alikuwa mkali lakini alikuwa na Huruma sana ebu fikiria Rais kwenda kumbeba Kigwangalla akiwa kwenye Machela ni Upendo wa ajabu

Tunasubiri Press ya Chadema alasiri ndio hii 😄
Wewe jamaaa buana
 
Shujaa Magufuli alikuwa miongoni mwa Watu wachache waliomshusha Dr Kigwangalla kutoka ndani ya Ndege akiwa hajitambui baada ya kupata ajali Mbugani

Shujaa Magufuli alikuwa mkali lakini alikuwa na Huruma sana ebu fikiria Rais kwenda kumbeba Kigwangalla akiwa kwenye Machela ni Upendo wa ajabu

Tunasubiri Press ya Chadema alasiri ndio hii 😄
Mkuu Yohane Mbatizaji, johnthebaptist , kwanza asante kwa taarifa ya wema wa Shujaa, JPM, ni kweli alikuwa mwema sana na mwenye huruma, hata aliposikia kiongozi fulani mkubwa wa upinzani anashindia mihogo, akamuwezesha kwenda uhamishoni, na aliposikia anapiga vibarua vya kubeba box supper market, akampiga ubalozi!, Ulaji Dr. Slaa: Magufuli anazidi kuthibitisha ni Rais wa wote, mwenye huruma na anayejali. Dr. Shika kuteuliwa?

But what is the linkage ya wema wa Shujaa na Press co ya Chadema?.
P
 
Shujaa Magufuli alikuwa miongoni mwa Watu wachache waliomshusha Dr Kigwangalla kutoka ndani ya Ndege akiwa hajitambui baada ya kupata ajali Mbugani

Shujaa Magufuli alikuwa mkali lakini alikuwa na Huruma sana ebu fikiria Rais kwenda kumbeba Kigwangalla akiwa kwenye Machela ni Upendo wa ajabu

Tunasubiri Press ya Chadema alasiri ndio hii 😄
Alikuwa shujaa wa Nini?
 
Hatunaga mambo mengi wala mbambamba

Bwana atawapigania ninyi nanyi mtanyamaza kimya

Baadae Mlale Unono 🌹🌹
 
Back
Top Bottom