Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Inategemea unaamini nini kama ni Imani (huo ndio ukweli wako wala mimi sina jinsi ya kukupinga) sababu hicho ndicho unachoamini hata ukiwa unaamini kwamba wewe ndio Muumba umekuwa incarnated kama wewe....Kwa hiyo mungu hahusiki kabisa mkuu na yaliyotokea na wala hakuyajua?
Ila tukija kwenye logic, known facts na vitu sensible basi hata uwepo wa mpenda wote na mpenda Amani haviendani na kinachoendelea sasa hivi...; Anyway kama ni kweli Mbinguni tutakuwa tunachoma wenzetu au tunakula bata wakati wengine wanapata shida bora niendelee kulala / kufa kuliko kushiriki kwenye hio barbarism