Je, uvaaji kofia ni kinyume na maadili ya mtanzania?

Je, uvaaji kofia ni kinyume na maadili ya mtanzania?

Kuna kipindi hubby alinunua cap..nikamwambia mbn unavaa kofia unakuwa km mhuni mhuni vile..akaniambia ninaficha upara...sasa sk 1 kaivaa..boss wake akamu0na akamwambia na ww ushakuwa mhuni sasa kwann unavaa kofia..???toka pale akaacha..kwakweli mwanaume anayevaa kofia awe btn 30 -50 mimi kwangu namchukulia MUHUNI..hana tofauti kbs na mdada anayechomekea dera kwa nguo za ndani!
Jitafakari best🤔🤔🤔🤔🤔

Acha ushamba basi kuvaa kofia sio uhuni ila wahuni wengi wanavaa kofia
 
Hata wazungu Wana utaratibu huo
Wa kuvua kofia kama kuonesha heshima!

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes hadi kuna msemo wa "Nimekuvulia kofia" yaani nimekukubali ,I salute You.
TH.jpg
 
Mpaka leo nchi kama Uingereza unapokutana na mtu anayekuzidi cheo au rika, ukimsalimia unavua kofia na baadaye unavaa. Nadhani hii ni ile tumerithi toka kwa waingereza au kama ilikuwepo sijui maana sisi wa mikoani kuondoa waislam, wazee wetu huoni picha yoyote ambayo walivaa kofia.

Wanaonekana wamevaa kofia mara baada ya kuathiriwa na kasumba ya waarabu, wajerumani na waingereza. Hii si mila ya kitanzania ila ni mila ya kuletwa. Kama kuna kabila lilivaa kofia naomba lije linikosoe. Tusihusishe dini na mila zetu za asili.
 
Ushamba tu unakusumbua. Kofia ni kama miwani ya jua. Kazi yake ni kukulinda na jua dhidi ya mionzi ya jua. Watu wenye akili timamu na wenye madaraka na heshima kubwa kama vile Odinga, Obama, Museveni, Goodluck Jonathan, Waislamu na Obasanjo wanavaa pia. Na hata Magufuli pia huwa anavaa.
Na Mkuu wa mkoa wa Mwanza. Anapenda sana Ivy Capes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi hubby alinunua cap..nikamwambia mbn unavaa kofia unakuwa km mhuni mhuni vile..akaniambia ninaficha upara...sasa sk 1 kaivaa..boss wake akamu0na akamwambia na ww ushakuwa mhuni sasa kwann unavaa kofia..???toka pale akaacha..kwakweli mwanaume anayevaa kofia awe btn 30 -50 mimi kwangu namchukulia MUHUNI..hana tofauti kbs na mdada anayechomekea dera kwa nguo za ndani!
Jitafakari best🤔🤔🤔🤔🤔
Ushamba mzigo,huoni hata anko magu siku ile taifa stars ilivoshinda alitupia cap ya njano..
 
Back
Top Bottom