Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kofia sio kitu mbaya ila inategemea na aina gani unavaa na time gani! Mfano mie napenda manzi yangu avae kofia af atolee kinywele nyuma kule kama mcheza tennis! Inanibamba sana!
Yes..kwa manzi inavutia..yes..nakuelewa..!hyo ht mm nikiipata blak naweza tinga wknd 1..lakini sio men😣