Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,236
nyie naona mnasema Ni uhuni embu tupeni maana ya uhuni..alaf tuunganishe na kofia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa naona kwenye Avatar yake anazo mbili mikubwaaaaa 😄😄😄😄😄halafu uchangiaji wake eti wa kisomiHahaha eti za bahati...chaaa!!!!
Na wasomi ndio wanaoongoza kwa shirki😄😄Kuna jamaa naona kwenye Avatar yake anazo mbili mikubwaaaaa 😄😄😄😄😄halafu uchangiaji wake eti wa kisomi
Washirikina tuu hawana lolote...
Kuna jamaa naona kwenye Avatar yake anazo mbili mikubwaaaaa 😄😄😄😄😄halafu uchangiaji wake eti wa kisomi
nyie naona mnasema Ni uhuni embu tupeni maana ya uhuni..alaf tuunganishe na kofia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona waongoza ibada HUVAA akiwemo PapaNaonaga wanasema sio heshima kuingia kanisani ukiwa umevaa kofia.
Hapana ana misaa miwili kwenye mkono mmoja na mipite miwili mikubwaHahaha anavuta msuba eh😂😂
si yule wa jana kuleeeHapana ana misaa miwili kwenye mkono mmoja na mipite miwili mikubwa
No Avantary 😝😝😝si yule wa jana kuleee
No Avantary 😝😝😝
Haipo now kabadilisha.😂😂😂nw i gatch ya'😂😂😂
Ntafurahi sana mamaaSawa nitafanya hivyo
Inaboresha muonekano ukikuta mtu anaejua kuzi blend pamoja!Kiukweli kwangu mwanaume saa inatosha, akiongeza vikorimbwezo vingine ameharibu
Kofia sio kitu mbaya ila inategemea na aina gani unavaa na time gani! Mfano mie napenda manzi yangu avae kofia af atolee kinywele nyuma kule kama mcheza tennis! Inanibamba sana!
Kiukweli kwangu mwanaume saa inatosha, akiongeza vikorimbwezo vingine ameharibu