Endelea kuvaa, uupe moyo wako faraja uipatayo.
Kuna kipindi hubby alinunua cap..nikamwambia mbn unavaa kofia unakuwa km mhuni mhuni vile..akaniambia ninaficha upara...sasa sk 1 kaivaa..boss wake akamu0na akamwambia na ww ushakuwa mhuni sasa kwann unavaa kofia..???toka pale akaacha..kwakweli mwanaume anayevaa kofia awe btn 30 -50 mimi kwangu namchukulia MUHUNI..hana tofauti kbs na mdada anayechomekea dera kwa nguo za ndani!
Jitafakari bestπ€π€π€π€π€
Yes hadi kuna msemo wa "Nimekuvulia kofia" yaani nimekukubali ,I salute You.Hata wazungu Wana utaratibu huo
Wa kuvua kofia kama kuonesha heshima!
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili tu ndio nalielewa kwingine kote mtaani nikudunda na kapero yangu atakayeona sina heshima kwenye kusalimia asiitike nami sitorudia tena kumsalimia nampita kama simuoniNaonaga wanasema sio heshima kuingia kanisani ukiwa umevaa kofia.
Na Mkuu wa mkoa wa Mwanza. Anapenda sana Ivy CapesUshamba tu unakusumbua. Kofia ni kama miwani ya jua. Kazi yake ni kukulinda na jua dhidi ya mionzi ya jua. Watu wenye akili timamu na wenye madaraka na heshima kubwa kama vile Odinga, Obama, Museveni, Goodluck Jonathan, Waislamu na Obasanjo wanavaa pia. Na hata Magufuli pia huwa anavaa.
Acha kiburi loveHili tu ndio nalielewa kwingine kote mtaani nikudunda na kapero yangu atakayeona sina heshima kwenye kusalimia asiitike nami sitorudia tena kumsalimia nampita kama simuoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ushamba basi kuvaa kofia sio uhuni ila wahuni wengi wanavaa kofia
Nikusalimie mara moja usiitike utegemee nirudie, neverAcha kiburi love
Ushamba mzigo,huoni hata anko magu siku ile taifa stars ilivoshinda alitupia cap ya njano..Kuna kipindi hubby alinunua cap..nikamwambia mbn unavaa kofia unakuwa km mhuni mhuni vile..akaniambia ninaficha upara...sasa sk 1 kaivaa..boss wake akamu0na akamwambia na ww ushakuwa mhuni sasa kwann unavaa kofia..???toka pale akaacha..kwakweli mwanaume anayevaa kofia awe btn 30 -50 mimi kwangu namchukulia MUHUNI..hana tofauti kbs na mdada anayechomekea dera kwa nguo za ndani!
Jitafakari bestπ€π€π€π€π€
Ushamba mzigo,huoni hata anko magu siku ile taifa stars ilivoshinda alitupia cap ya njano..
[emoji23] ntakujaNenda basi ukweni ukatoe posa umevaa hayo makofia uone
[emoji28] ndoa ya dakika 5, mchezo umeisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndoa ya mkeka[emoji28]